Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,446
- 14,880
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kamdomoooManjesta mmeshakuwa mteja wetu
Kama kunywa maji tu ,tunajipigia tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Arteta vs Manjesta
Mechi 10
Win 7
Draw 1
Lost 2
Mlimzoea Wenger anawachekea ,
Arteta hacheki na manjesta,ni anawabonda tu
Kamdomo ndio kanakowaponza, miaka 20 bila Epl, kamdomo kamewafanya toka timu ianzishwe hakuna kombe lolote la ulaya sio Uefa, Europa wala Conference league mloshinda, kamdomo ndio kamesababisha Arteta msimu wa 8 huu na Arsenyo hakuna kombe lolote aliloshinda zaidi ya Mwanafa.
Kamdomooo, kamdomooo, kamdomooo.