Hii comment yako huwa inanichekesha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😘Mlishaambiwa hakunaga muhindi akawa kocha wa football!! mkakaza fuvu!
Haya sasa ona jinsi mnavyodhalilishwa tena mpo nyumbani,mbele ya wake zenu....
Tulia we Wakanda ForeverNikajua huyo YORRO ni mtu wa maana kumbe uchafu mtupu. Yaani hawa ndio walisababisha tuwafukuze kina Wan Bissaka!
Huyo dogo hatari sana ngoja Arsenal tumchukueAMAD inatakiwa acheze Barcelona sio hapa. Pale anamuweka bench hata Lamine Yamal.
Si ulihama Arsenal? Enjoy with your teamHuu sasa ujinga
Once nyumbu always nyumbuWewe safari hii hutakuwa na maisha marefu humu ndani utakimbia sababu i can tell you this time tumepata kocha ni suala la muda tu.