IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Punda kabisaWatoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa kutandika hawa msitu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Manchester United 3 vs msitu 1
Tutapiga kama ngoma.
View attachment 3171467
Onana ni kipa bora eplTafuteni kipa wa Kueleweka
MMeishia kupigwa nyinyi kama ngoma🤣🤣Watoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa kutandika hawa msitu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Manchester United 3 vs msitu 1
Tutapiga kama ngoma.
View attachment 3171467
Umwana angee😂KASONGO YEEEYE,
MUMBALI NANGAA,
KASONGO MBONA WEWO,
SONGA LIBALA OOH YE YE YE YE
KASONGO MBONA WEWO, MBONA WE WOOO
MUMBALI NANGA YEEEE
Hao ni Arse8.Nyumbu akicheza wachezaji wake wanapita uwanjani na kanga Moko iliyo loa wakikatika katika ovyo mixer kutingisha wowowo wakisema Nottingham forest chukua yote yako
Msimu wakati unaanza Onana anakuambia msimu huu nimejiandaa kutake risks. Nikajiuliza risks gani kumbe za kupigwa goli 5 mechi 2.
Sasa hivi GD inaanza kusoma negative
Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.Nagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
Oya badilisheni lugha mazee ,duhNagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.
Unateseka ukiwa wapi?Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.