Huyo ni muandishi wa habari, ina maana kuna mtu wa ndani amemvujishia kikosi tokea jana na yeye akaamua kupost kupitia account yake ya facebookKwahy inamaana kuwa anayepanga kikosi sio kocha?
Mbona huyo kwenye picha sio kocha wa nyumbuz
Hii ndio sababu huyo dogo Ganarcho na Rashford hawapo kabisa kwenye bench leo?Huyo ni muandishi wa habari, ina maana kuna mtu wa ndani amemvujishia kikosi tokea jana na yeye akaamua kupost kupitia account yake ya facebook
Haijajulikana sababu rasmi lakini ni swala la muda tu, kufahamu sababu ya kuachwa kwao.Hii ndio sababu huyo dogo Ganarcho na Rashford hawapo kabisa kwenye bench leo?
Mount ameanza kikosini, wazee tuongezeni angalau pesa kidogo kwa Mount mashine ya Kazi. Acheni ubahili basiKikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys hawa hapa kwenda kuichapa ya mama cita.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha π π
My prediction
mama cita 1 vs Manchester united 4
tutapiga kama ngoma leo.
View attachment 3177430
Mount amepata tatizo la kiufundiLeo furaha tupu my favourite players wote wapo..MAGUIRE, AMAD, MOUNT. Mount mzuri sana anakimbia sana anakaba sana.
Umechelewa Mkuu soma comments huko juu.Yule jamaa wa chelsea anayesemaga Muongeze hela kwa mount lazima atakuja humu
Dogo amepatwa na nn mana naangalia livescores hapa naona ametolewa πSamahani wazee MOUNT kapata tatizo la kiufundi, mifumo mwilini imeshindwa kusomana, ila ni mashine ya kazi msisite kutuongezea pesa
Mount atakuja kumshika mtu uchawi...sipati picha angebaki Chelsea yeye na ndugu zake Fofana na James wangeunda kabisa whasap group hapo wodiniMount amepata tatizo la kiufundi
Cash Money ForeverYule jamaa wa chelsea anayesemaga Muongeze hela kwa mount lazima atakuja humu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kumbe ushafikaUmechelewa Mkuu soma comments huko juu.