DAEMUSHIN
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,428
- 120,464
Huyo ni muandishi wa habari, ina maana kuna mtu wa ndani amemvujishia kikosi tokea jana na yeye akaamua kupost kupitia account yake ya facebookKwahy inamaana kuwa anayepanga kikosi sio kocha?
Mbona huyo kwenye picha sio kocha wa nyumbuz