unasema???Mmelambwa π
Kisa amefunga au sio, sisi mashabiki muendelee kubaki kushabikia tuu acheni kujifanya wachambuzi baada ya mechiNarudia tena AMAD ni MESSI
Mmefufuka eeeunasema???
Wameshinda afu bado nafasi ya 12 π sasa umuhimu wa kumfunga City uko wap πSasa nyie mmeshinda ili iweje?
Nyumbu siwakubali ila leo nimefurahi ili tuzidi kupendeza pale juuNyumbu mmetisha HONGERENI sana. ππππ
Wazee naomba nifute hii kauli, MOUNT alitolewa kafara ili mshinde, miiko ya mashetani yenu. Tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa Mount mashine ya Kazi. Acheni ubahili basi mmeshinda mechi.Wazee mshinde tuwasamehe nyongeza ya pesa kidogo kwa MOUNT. Na mkishinda leo tutawapa bure mashine nyingine ya magoli STERLING.
Ahsante sana gigy money ila mna midomoNyumbu mmetisha HONGERENI sana. ππππ