Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
nawewe punguza kiherehere kabla mechi haijaisha.Kisa amefunga au sio, sisi mashabiki muendelee kubaki kushabikia tuu acheni kujifanya wachambuzi baada ya mechi
Bc mmeshinda mna nguvu ya kujibu watu 😂 tambeni wakuu huu ndo wakati wenu na nafasi yenu ya 13 huko 😂nawewe punguza kiherehere kabla mechi haijaisha.
Bc mtaongea vya kutosha 😂We kama unaona mancity kaonewa leta timu yako
Ngapi huko hii Sunday???[emoji599] Cooked by Timber on Wednesday
Cooked by Wood On Sunday
Will be Cooked by Stones on Sunday
Umenuuuna huko ulipo.Mmebanduliwa 😂
Muda wenu wa kuvimba huu ila Mm shabiki wa Chelsea nafurah mlivyoshinda mana nazidi kupendeza kule juuUmenuuuna huko ulipo.
unajua boli kweli auTafuteni kipa na kocha wa kueleweka NYUMBU nyie.
unajua boli kweli au
Moja ya mistake kubwa ni kumtoq degea wakati hamna replacement, onana hafit kabisa aina ya uchezaji wa man u, aina yake ya uchezaji unamfanya avuje mnoDe Gea mlifanya haraka kumtimua, tafuteni kipa wa maana.
Sizungumzii kipa , nazungumzia kuhusu kocha,De Gea mlifanya haraka kumtimua, tafuteni kipa wa maana.