wanamuingiza diallo wao eti wapige comeback kama chelsea 🀣🀣🀣🀣
 
Unacheza back 3 na timu inayoishi kwa counter πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Leo kidogo naona boli linatembea,second half tunaenda kupiga come back nyingine tena..Dialo na Garna watahusika katika magoli yatakayopatikana
Hilo Boli gani labda bolibo mshalambwa chuma 3 πŸ˜‚ ...kamubaki labda kwenye dream league
 
Watu washazoea nyumbu kufungwa hakuna anayeshangaa

Wala hakuna anayekuja huu uzi
 
Dah mambo gn Tena hapa TOT tunaruhusu yatokee, hawa nyumbu wakishinda watatamba sana em refa maliza mpira kuna watu wanaishi mbali
 
Come back ikipigwa tutaweka uso wetu wapi chuma cha pili dialo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…