Amorini anaonekana hana muda wakubadilisha formation hata atumie 4-2-3-1,4-4-2,4-3-3 yeye inaonesha kakalili 3-4-3
Hiyo formation imewakataa wachezaji karibu wote wa manjesta,imewakubali hasa Mazarawi,Amadi ,Ugale
ila wengi imewakataa ,mtu kama Kobelo Maino anaonekana fala tu sasa hivi,
Bruno anaonekana kama Okajefa ,
Kocha mwingine haraka sana angetafuta formation inayoendana na hao wachezaji
RVN ana coaching nzuri ,alipotumia 4-2-3-1 nilijua tu angeokota alama nyingi
Sasa huyo Amorini anakwambia atasimama na 3-4-3 Hadi afukuzwe
Na Mimi kama mhafidhina nasema hivi aendelee hivo hivo
Conte ni master wa 3-4-3 lakini pale Napoli anacheza 4-2-3-1 au 4-3-3 ,unadhani kwanini?
Huyu Amorin alijua EPL sawa na ligi za wakulima ,
Subiri sasa atachezea vipigo vya kutosha
Wewe formation imewakubali wachezaji hawazidi watano Bado unalazimisha tu
Kobelo Maino ndio namsikitikia sana