Manchester United (Red Devils) | Special Thread
.
 

Attachments

  • Screenshot_20250117_005745_FotMob.jpg
    Screenshot_20250117_005745_FotMob.jpg
    99.3 KB · Views: 1
Kwa jinsi nionavyo mchezo unavyoendelea hapa wachezaji wa utd wanamentalit ya timu ndogo hivyo wanapokutana na timu kubwa kama Liverpool, Man City na Arsensl wanakamia game ila wakikutana na wadogo wenzao kama Southampton wanacheza kwenye kiwango Chao halisi na hapa ndipo unapata picha ya kikosi tulichonacho. Hii nafasi ya 14 hatupo kwa bahati mbaya bali ndio uwezo wa aina ya wachezaji tulionao. Mchezaji kama Maiono mimi sioni ubora ambao watu wanamsifia kila wakati ni back past mara apigishe wapinzani mpira. Tunahitaji wachezaji wenye kujiamini sio hawa ambao wanawasiwasi hadi miguuni.
Maino ni zigo 😄😄😄

Chezaji lina miaka 19 ila zito kukimbia km ndio linakaribia kustaafu 😄😄
 
Back
Top Bottom