Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya dada nimekujaaUnder-cover sikuoni hapa, kulikoni? Na tena mna bahati kweliweli, mngeshalala 2+.
Umemuona toto amad 🤣🤣Under-cover sikuoni hapa, kulikoni? Na tena mna bahati kweliweli, mngeshalala 2+.
Hamna bahati hapo weweBahatai yenu, kamewaokoa kachezaji kadogo dogo kama punje ya mchicha.
Haya dada nimekujaa
Unataka kusemajeee😅😅😅
Hongereni basi, bahati yenu hawakuwa serious dakika za mwanzoni mwa vipindi vyote.Umemuona toto amad 🤣🤣
Hahahahah,Southampton ni ngedere.
Ni Muslim safi dogo huyu kama ManeSiku zote nilikuwa nafahamu Amad Diallo ni Muslim.. Kumbe ni Christian.. Baada ya goal la kwanza nimemuona akifanya ishara ya msalaba.
Leo kawaokoa watu aisee
GOli 3 sio bahatHongereni basi, bahati yenu hawakuwa serious dakika za mwanzoni mwa vipindi vyote.
Nmeona piaUlimcheki akifanya ishara ya msalaba baada ya goli?
Maino ni zigo 😄😄😄Kwa jinsi nionavyo mchezo unavyoendelea hapa wachezaji wa utd wanamentalit ya timu ndogo hivyo wanapokutana na timu kubwa kama Liverpool, Man City na Arsensl wanakamia game ila wakikutana na wadogo wenzao kama Southampton wanacheza kwenye kiwango Chao halisi na hapa ndipo unapata picha ya kikosi tulichonacho. Hii nafasi ya 14 hatupo kwa bahati mbaya bali ndio uwezo wa aina ya wachezaji tulionao. Mchezaji kama Maiono mimi sioni ubora ambao watu wanamsifia kila wakati ni back past mara apigishe wapinzani mpira. Tunahitaji wachezaji wenye kujiamini sio hawa ambao wanawasiwasi hadi miguuni.
Tumeanza😆kama winga wako hajawahi kupiga hatrick EPL usipite kwenye page yetuView attachment 3204044
Yule ni muislam, huwa anawaona wachezaj wengine wakifanya hivyo nae akafanya sidhani kama anajua maana yake.Ulimcheki akifanya ishara ya msalaba baada ya goli?
Asante sosha kwa zawadi hii🙌🙌🙌kama winga wako hajawahi kupiga hatrick EPL usipite kwenye page yetuView attachment 3204044
Talent ID ya Sosha ni exceptional.Asante sosha kwa zawadi hii🙌🙌🙌