Dogo kama Pogba tuView attachment 3219916
Jana Maino kachezeshwa namba 10, kocha anasema atamjaribu maino kama namba 10 kwasababu ni mzuri technical, anadai akicheza kiungo uwa anapata shida sana difensively
Kwaiyo maino is our new no. 10
Huu uzi watu kama wamezila hivi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro kimeshuka.
My prediction
Manchester united 3 vs crystal palace 1
Watapigwa sana wale View attachment 3222343
Dah hili bango ni kubwa sana π