Leteni hela tuwauzie wale watoto Nwaneri na Lewis Skelly mjenge timu....maana sikuhzi mnatupora wachezaji wetu kishenziKikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro kimeshuka.
My prediction
Manchester united 3 vs crystal palace 1
Watapigwa sana wale View attachment 3222343
endelea kutabiri hivi hivi hadi mshuke darajaKikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro kimeshuka.
My prediction
Manchester united 3 vs crystal palace 1
Watapigwa sana wale View attachment 3222343
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Oyaaa wakuu onesheni utu basi, wakati mwingine sio busara kumsimanga ndugu yako aliye mahututi baada ya kupata ajali akiwa anaonyesha mbwembwe za kupiga dede.Hawa punda wameifunga timu jina hawaijui washaanza eti kobe awe namba 10. Hakika Ruben akamuweka CF kabisa.
Kiazi kimoja nishasema kikitabiri ushindi tu mi hata siwazi. Najua lazima mfe punda kabisa
Kumbe na yeye anatajirika kupiti utabiri wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Oyaaa wakuu onesheni utu basi, wakati mwingine sio busara kumsimanga ndugu yako aliye mahututi baada ya kupata ajali akiwa anaonyesha mbwembwe za kupiga dede.
Ila allypipi miyeyusho sana, kwenye prediction zake hapa JF anaonyesha tunampiga mtu goli 3 halafu kwenye mikeka yake anatuua.
Kuna namna😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Oyaaa wakuu onesheni utu basi, wakati mwingine sio busara kumsimanga ndugu yako aliye mahututi baada ya kupata ajali akiwa anaonyesha mbwembwe za kupiga dede.
Ila allypipi miyeyusho sana, kwenye prediction zake hapa JF anaonyesha tunampiga mtu goli 3 halafu kwenye mikeka yake anatuua.
Anang'aa nini sasa?Antoninho anang'aa tu huko. Kweli hii timu ina laana!
View attachment 3223034
View attachment 3223036
[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Oyaaa wakuu onesheni utu basi, wakati mwingine sio busara kumsimanga ndugu yako aliye mahututi baada ya kupata ajali akiwa anaonyesha mbwembwe za kupiga dede.
Ila allypipi miyeyusho sana, kwenye prediction zake hapa JF anaonyesha tunampiga mtu goli 3 halafu kwenye mikeka yake anatuua.
Mechi yake ya kwanza kawa nyota wa mchezo.Anang'aa nini sasa?
Kutolewa dakika ya 72 au