Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Timu yangu bana yanu back 5, inashindwa kukaba, ona garnach qmmak anakosa hapo.

Kocha yupo ila wachezaji ni takataka.
 
Passes final third
Spurs 80
Nyumbu 32

Timu kiungo kimekatika, backline wanacheza makirikiri, forward zinasaidia kuzuia, mashabiki
wanakuambia hii man u ni yamoto sana msimu huu
 
Kama raashford anaenda anaenda aston villa kwa mkopo (yan arsenal wamtoe martinel kwa mkopo)

Anthony anaenda real betis kwa mkopo

Maana yake wachezaji hawauziki hapa. okey, niambie mchezaji gani wa unyumbuni anaeweza kuuzwa kwa $40M na mimi niwaoneshe mbuzi mwenye miguu miwili
Screenshot_20250216_201144_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom