🤣 w jamaa ndomana kocha kaja mapema ili atenganishe pumba na mcheleHizi takataka zitamfukuzisha kocha kazi
Delgt
Mazrou
Dalot
Casemiro
Kobie
Amad
Hojlund
Gernacho
Hawa wafukuzwe leo usiku🤔
Huna players mzee wa kueleweka.Hizi takataka zitamfukuzisha kocha kazi
Delgt
Mazrou
Dalot
Casemiro
Kobie
Amad
Hojlund
Gernacho
Hawa wafukuzwe leo usiku🤔
Bila shaka umemwelewa huyo mtangazaji.Mtangazaji wa mechi h mnafiki sana 😂 ety anasema Man U wanaweza kusawazisha mechi h 😂 msawazishe nn? labla muingie na msasa 😂
Umefufuka muda huu au Sio 😎Bila shaka umemwelewa huyo mtangazaji.
Kaka wa ze bluzi habari.Umefufuka muda huu au Sio 😎
Kwan Chelkenge amecheza leo? 😭Kaka wa ze bluzi habari.
ina .maan hujasikia kilio huko 🤣🤣🤣Kwan Chelkenge amecheza leo? 😭
Mm nashabikia West hamina .maan hujasikia kilio huko 🤣🤣🤣
Pole sana, club sio mwanamke kwambs utabsdilisha🤣Mm nashabikia West ham
Pamoja na yute bado nyumbu hamtufikii tulipo 🔥🔥Pole sana, club sio mwanamke kwambs utabsdilisha🤣
Amekuwa anafanya makosa yale yale kila siku. Saves zake anarudisha ndani ya penalty boksi badala ya kupangulia nje mbali kushoto/kulia.yule jamaa wa tafuteni kipa wa kueleweka huenda ana hoja ya msingi, kama naanza kumuelewa.
IamMrLiverpool
Wolves wanakujaIle timu pale ilipo haishuki daraja kamweee itaishia palepale....
😅😅😅😅😅😅yule jamaa wa tafuteni kipa wa kueleweka huenda ana hoja ya msingi, kama naanza kumuelewa.
IamMrLiverpool