DAEMUSHIN
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,428
- 120,464
yule jamaa wa tafuteni kipa wa kueleweka huenda ana hoja ya msingi, kama naanza kumuelewa.
IamMrLiverpool
IamMrLiverpool
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 w jamaa ndomana kocha kaja mapema ili atenganishe pumba na mcheleHizi takataka zitamfukuzisha kocha kazi
Delgt
Mazrou
Dalot
Casemiro
Kobie
Amad
Hojlund
Gernacho
Hawa wafukuzwe leo usiku🤔
Huna players mzee wa kueleweka.Hizi takataka zitamfukuzisha kocha kazi
Delgt
Mazrou
Dalot
Casemiro
Kobie
Amad
Hojlund
Gernacho
Hawa wafukuzwe leo usiku🤔
Bila shaka umemwelewa huyo mtangazaji.Mtangazaji wa mechi h mnafiki sana 😂 ety anasema Man U wanaweza kusawazisha mechi h 😂 msawazishe nn? labla muingie na msasa 😂
Umefufuka muda huu au Sio 😎Bila shaka umemwelewa huyo mtangazaji.
Kaka wa ze bluzi habari.Umefufuka muda huu au Sio 😎
Kwan Chelkenge amecheza leo? 😭Kaka wa ze bluzi habari.
ina .maan hujasikia kilio huko 🤣🤣🤣Kwan Chelkenge amecheza leo? 😭
Mm nashabikia West hamina .maan hujasikia kilio huko 🤣🤣🤣
Pole sana, club sio mwanamke kwambs utabsdilisha🤣Mm nashabikia West ham
Pamoja na yute bado nyumbu hamtufikii tulipo 🔥🔥Pole sana, club sio mwanamke kwambs utabsdilisha🤣
Amekuwa anafanya makosa yale yale kila siku. Saves zake anarudisha ndani ya penalty boksi badala ya kupangulia nje mbali kushoto/kulia.yule jamaa wa tafuteni kipa wa kueleweka huenda ana hoja ya msingi, kama naanza kumuelewa.
IamMrLiverpool
Wolves wanakujaIle timu pale ilipo haishuki daraja kamweee itaishia palepale....
😅😅😅😅😅😅yule jamaa wa tafuteni kipa wa kueleweka huenda ana hoja ya msingi, kama naanza kumuelewa.
IamMrLiverpool