Kocha ana kiwewe, hii timu itampa kichaa. Hii ya kumtoa Garna tena haraka haraka wakati angeweza kusubiri kipindi cha kwanza kiishe maana zilibaki dakika chache, hata mimi imenishangaza.
 
Vipi tena mbona mnamgeuka muhindi kocha la vikombe
 
Ooh Arsenal wakipigwa red wanatepeta.

Mbuzi nyinyi hata dakika mbili hazijaisha washuka daraja wenzenu wamewabandua
 
Nyumbu ile hojlund mmetapeliwa pakubwa duuh๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...na mwenzake Joshua budo zirkzee( huyu naye mpk alitaka kushangilia goli la kujifunga la morsy๐Ÿ˜‚..kufunga yeye kashindwa)
 
Imefikia wakati tumpe nafasi Bayindir akae golini labda anaweza kufanya mambo ya msingi huku tukimalizia ligi tofauti na Onana!
This is too much..
 
Nyumbu ile hojlund mmetapeliwa pakubwa duuh๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...na mwenzake Joshua budo zirkzee( huyu naye mpk alitaka kushangilia goli la kujifunga la morsy๐Ÿ˜‚..kufunga yeye kashindwa)
bora budo kuliko huyo mwanamieleka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ