Gunners hata top 4 sijui kama wataigusa The Bluez bora wangemwacha yule Muisrael (GRANT) kuliko SCOLARI
Wakitolewa Champs league naona jamaa atarudi Brazil kufundisha Flamingo

Haya tulishatabiri kuwa jamaa atatimuliwa ila naona wamewahi kumtimua
 
Hongereni tena ManU

.....hapa nacheck BIG game la AC Milan na Inter Milan....aisee bonge la game....AC Milan kesha kunywa 2....si mchezo mamake
 
Msimu huu naona GIGGS ndio anafaa kucheza kati hasa kwenye game kubwa then Ronaldo na Park wacheze pembeni
Jamaa miaka 35 but anakimbiza utafikiri ndio ana miaka 20 kwa sasa ni mmojawapo ya Ma-legend katika football ingawa hajawahi kupata mafanikio katika timu ya taifa
Anafaa kuwa daraja moja na kina Del Piero,Maldini,Raul,Zanneti
 

Sanaaaaaaaaaaaaaaaaa tuuu Mkuu Belo.

Giggs sasa hivi yupo kama Kipikipiki anakimbia ajabu. Kweli Man Utd kisima cha burudani.
 
wakati tukiwa tunaongeza kwa goli lililofungwa na Paul Scholes, tunakumbuka historia "United have not lost a league game in which Paul Scholes has scored since 2001." Hivyo tunaweza sema mechi ya leo tunashinda pia. Bravo Man U.
 
wakati tukiwa tunaongeza kwa goli lililofungwa na Paul Scholes, tunakumbuka historia "United have not lost a league game in which Paul Scholes has scored since 2001." Hivyo tunaweza sema mechi ya leo tunashinda pia. Bravo Man U.

Yameongezeka 3-0 dk ya 76, sidhani kama Fulham wanaweza kurudisha kitu hapo. Bondia 'Rooney' kaingia tu kipindi cha pili na goli la faster.. Mashetani wekundu hongereni,mnaendeleza ushindi!
 

Evra, Rooney, Ferdinand are all playing and Manure looks destined to win the title 😕
 
Hongereni washabiki wa Man Utd.
Tatu bila dhidi ya Fulham!..Teteeni taji lenu..
 
Inabidi Man Utd wadizi kuendeleza ushindi. Wakizubaa tu watapitwa maana upinzani mkali.
Mashabiki hongereni kwa ushindi wa 2 - 1 dhidi ya Blackburn.
 
Pamoja na yule refa kukataa goli la Evans ambalo lilikuwa halali but Ronaldo akawanyamazisha
Nasikia dogo Evans kaumia hiyo J4 sijui itakuwaje ,hivi Brown bado majaeruhi?
 
Seven points clear now!!! tunawasubiria march 14 ndani ya vingunguti watoto wa bwawa la maini!!
Naona msema ovyo jose ameanza maneno yake ila kesho lazima mziki wa MAN utd aucheze tu...
 
Pamoja na yule refa kukataa goli la Evans ambalo lilikuwa halali but Ronaldo akawanyamazisha
Nasikia dogo Evans kaumia hiyo J4 sijui itakuwaje ,hivi Brown bado majaeruhi?

kama kweli dogo kaumia hilo ni pengo kubwa, Wes Brown bado hajapona na yule Mcanada (Owen Hangreves) bado hajapona. Itabidi Vidic na Oshea wakomae. Pia Anderson anaweza kucheza nafasi zote.
 
kama kweli dogo kaumia hilo ni pengo kubwa, Wes Brown bado hajapona na yule Mcanada (Owen Hangreves) bado hajapona. Itabidi Vidic na Oshea wakomae. Pia Anderson anaweza kucheza nafasi zote.

I hope you u meant Rio na O'shea, Mind you Vida ana Kadi (the red kadi aliyopata finali ya klabu bingwa dunia).

Nimetemebelea First Aid Kits & Sports Injury Shop - PhysioRoom.com (web maalum ya injured players) Brown hayupo kwenye list ya Majeruhi however nina dought kama kesho anaweza cheza. Mind you kuna Ibrahimovic na Adriano, they are agile, strong, powerfull etc Waziri wa Ulinzi Vida haypo (ndiye hufanya marking), Baba mwenye nyuma Rio yeye kazi yake ku-sweep tu, so u can just imagine how trickly tommorrow's game will it be as far as the defense is concerned.

I cant wait, ila all in all THIS IS UTD!

Go Utd!Go for the Quadruple!
 
Kikosi kilichoenda ni;

Travelling squad
Goalkeepers: Van der Sar, Foster, Kuszczak.
Defenders: Ferdinand, Evra, O'Shea, Evans, Fabio, Eckersley.
Midfielders: Giggs, Park, Carrick, Nani, Scholes, Possebon, Gibson, Fletcher, Ronaldo.
Forwards: Rooney, Berbatov, Tevez, Welbeck.

Kwa hiyo hata Rafa hajaenda...so Oshea is likely akapga kati na Rio then Eckersley akacheza mbili!...duh mbona mtihani!?
 
kama kweli dogo kaumia hilo ni pengo kubwa, Wes Brown bado hajapona na yule Mcanada (Owen Hangreves) bado hajapona. Itabidi Vidic na Oshea wakomae. Pia Anderson anaweza kucheza nafasi zote.

huyu ana RED card hatacheza, O'Shea nae 50/50......
 

Kweli Mkuu, huu ni mtihani, nilishasahau kuwa red card ya Vidic bado ipo, sasa Rafa kwanini hayupo? duh kazi itakuwa ngumu sana upande wa beki mbili.
 
Kitu cha msingi ni kujaza Midfielder wengi katikati ili kufidia matatizo ya beki ,kitu cha msingi tunahitaji goli la ugenini
Van der Sar-Oshea- Evra-Evans- Rio-Carick-Ronaldo -Scholes -Rooney - Berbatov- Fletcher
Mambo yakiwa magumu amuingize mzee mzima Giggs
Go UNITED Go
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…