Jamani simnaona mpira ulivyokua hauna adabu Manu wanazalilishwa kwa goli nyingi tu per mechi, sasa wakifungwa yeboyebo watu tunachonga kama vile sijui yeboyebo waliwakosea nini , so yebyebo be prapared well you can in the second round!!!!!!!!!!!!
 
maumivu ya kichwa huanza pole poooooooooooooole,na kutesa ni kwa zamu,ze ganaz kicheko mbavu hatuna,man u wacha na nyie mjue machungu ya kuzaa mtoto akafa!
 
Wamefanya makosa Chelsea, kwa nini isiwe liverpool? Watachapwa tu na wao- ngoma iwe droooo

Duh! ligi ya mwaka huu ni soo; naona sir fagason sasa hivi watoto wanamdungua kama kicheche vile

wallah watoto wa siku hizi nidham kuch nehi!!! mpaka kwa tic tack wao wanagandamiza tu kwa manure
 
Mbu Fergie know how to handle the pressure,tatizo kubwa ni hizo red card 3 na kuruhusu magoli mengi
Kwenye hizi last 2 game tumepata goli difference ya -5

...Belo, bado mna a game in hand, wachezaji wenu wanahitaji 'wake up call' kabla hamjakutana na Aston Villa mechi ijayo,...msipoangalia nanyi miti ndio ishaanza kuteleza hiyo!...'Bad Patch period!'

Duh! ligi ya mwaka huu ni soo; naona sir fagason sasa hivi watoto wanamdungua kama kicheche vile

wallah watoto wa siku hizi nidham kuch nehi!!! mpaka kwa tic tack wao wanagandamiza tu kwa manure

...umeona eeh? ha ha haaaa 😀
 
Mbu!
You must be happy maana Arsenal jana wameshinda halafu man utd kafungwa. Ila leo watu wanasubiria matokeo ya liverpool, sijui watafugwa nao?!
Hata kumtabiria mshindi wa PL ni ngumu kwa sasa!
 
Mbu!
You must be happy maana Arsenal jana wameshinda halafu man utd kafungwa. Ila leo watu wanasubiria matokeo ya liverpool, sijui watafugwa nao?!
Hata kumtabiria mshindi wa PL ni ngumu kwa sasa!


...Belinda, huu ni wakati wa mavuno kwetu sie (ze Ganaz!),... acha tujiliwaze maana, mnh!
tulikuwa hatupumui. Hawa jamaa walitukalia kidedea utadhani hakuna kufa, sasa ni zamu yao kuonja machungu.... 'wameinamaaa, wameinuka, wanaona haaaaya haoooooo!'

...machungu yao yatazidi Bwawa la maini wakiidungua Aston Villa leo... sikilizia hizo kelele zangu, ....nitarudi tena baadae, siwaachi hawa,...walininyima sana usingizi!

Man U watachukua tena kombe la EPL lakini jasho litawatoka!
 

Hivi mjomba uwa unapost kwenye jukwaa la Arsenal?
 
Hivi mjomba uwa unapost kwenye jukwaa la Arsenal?

...ha ha haaa 😀

....mjomba wewe wala usijali napost wapi... mimi na nyie tu mpaka kieleweke.

Mpaka sasa;

LIVERPOOL 1 - 0 A' ViLLA​
 
...ha ha haaa 😀

....mjomba wewe wala usijali napost wapi... mimi na nyie tu mpaka kieleweke.

Mpaka sasa;

LIVERPOOL 1 - 0 A' ViLLA​

Mbu!

mpira haujaisha lakini!? naona umefurahia sana hilo goli mpaka sasa!
kweli umewapania man utd mpaka kieleweke, hu!
 
Mbu!

mpira haujaisha lakini!? naona umefurahia sana hilo goli mpaka sasa!
kweli umewapania man utd mpaka kieleweke, hu!

...actually, am really really sad na matokea haya.

Iweje team za daraja la kwanza, Real Madrid, halafu EPL teams Man U na A' ViLLA wafungwe magoli yote hayo 🙁
...sitachangia kwa sasa, naomboleza na wenzangu, 'wenye thread yao.'

It is not fair!!!
 
Hivi mjomba uwa unapost kwenye jukwaa la Arsenal?
Mkuu waache tu hizi kelele za msimu zitaisha mda si mrefu.....eti Liva washaanza kuwaza kuchukua ubingwa.....(suprisengly hadi Ganaz wameamka kiushabiki).....
To be a EPL champion one needs more than just few win! Rest assured kwamba Man ni bingwa wa EPL 2008/09
.
 
Unajua uzuri uwa sina wasiwasi na Man U, Fergie aliwaonya wachezaji baada ya Barca na Inter kuanza kuteleza. Muda bado upo na sasa ubingwa tunachukulia mgongoni kwa Arsenal like it or not habari ndio hiyo!!
 

Gud analsyis Bro!

Hope it was a short term winning 'fatique' which was haunting us, its my hope that shall bounce back!


BTW; ZE Gonnaz wameamka coz AT LEAST they are assured of the FOURTH position....

Go United!
 
Go east go west, man z da best.. I KNOW DAT WA SLIPPING NOWADAYS BUT DAT DOESNT MEAN WA NOT DA BEST..THERE Z NO GIVING UP.
 
Unajua uzuri uwa sina wasiwasi na Man U, Fergie aliwaonya wachezaji baada ya Barca na Inter kuanza kuteleza. Muda bado upo na sasa ubingwa tunachukulia mgongoni kwa Arsenal like it or not habari ndio hiyo!!

...dah, ...ndio kusema hamna uhakika wa ubingwa mpaka tarehe 16th May? ...haya bana...😀
 
Mimi napenda tukutane nae semi final ya Champs league hawa Gunners wanapiga sana kelele
Mara Eduardo karudi mara Walcot tumeshasema nyie nafasi yenu ni ya 4
 
Huyu Mourinho hii nafasi ya umanager Old Trafford itamtoa roho, mbona kakamia namna hii kuna nini?

 
Mpunga wewe Chama kubwa lile lazima ajipendekeze kwanza mana babu am sure next season ata quit kama alivyosema mwanae.Anahamu sana kurudi UK naona ni moja ya sehemu alizokula bata na Jina lake kuwa juu sana.Kamwe hawezi kurudi kwenye timu ndogo na chovu kama.......anapenda status ya kuwa Juu
 
Manchester United striker Dimitar Berbatov has been ruled out for two weeks with an ankle injury.
bbc sports.

Bandugu huu ni mgogoro na sijui Fergie atamchezesha nani pale mbele hiyo jumapili against Villa, sitashangaa sana mkila kichapo cha tatu mfululizo. Rooney ana kadi nyekundu, Tevez nahisi bado yuko njiani toka huko South America na akifika atakuwa kachoka kichizi.Vidic na Scholes nao wako out! You should be worried now.
Nice weekend...(genuinely)
 
Sio taabu sana, ukitoa hao watatu bado kuna team ya watu 25! We unakuja na swali nani atacheza! Unamfahamu Fergie? Anaweza kumuweka hata Fabio!
Matarajio yangu weekend hii; Chelsea hola, Liver hola, Man Utd Juu! Gunners hawafai hata kuwataja!
Siku njema-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…