Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
bbc sports.
Rooney ana kadi nyekundu, Tevez nahisi bado yuko njiani toka huko South America na akifika atakuwa kachoka kichizi.Nice weekend...(genuinely)
Tatizo kubwa lifakuwa ni striker but naamini Ronaldo atatubeba