Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Oh hooooo naona nyumba ya mabua ya Manure inaungua..

Manure 0 Tott'ham 2

naona manchester wamechoka kabla ya msimu kuisha... wanakuwa kama watoto wadogo wa gunners! au ndio uzee!
wanacheza nare nare kweli mpaka yakatisha tamaa, ila we expect to see more in the 2nd half! at least draw, possibly tutawachapa tottenham nao ni mdebwedo basi tu wameotea!
 
siyo siri wachezaji wamechoka sana, hata hivyo bado ninatumaini ya kupata draw.

Hivi SAF kwanini anamuacha Anderson? dogo anatakiwa kupewa 90 minutes. Evra 3 yake imepwaya sana leo, anakimbilia mbele sana na kuacha kuzuia, vijana wanapita huko kushoto maybe SAF atamweleza this time.
 
siyo siri wachezaji wamechoka sana, hata hivyo bado ninatumaini ya kupata draw.

Hivi SAF kwanini anamuacha Anderson? dogo anatakiwa kupewa 90 minutes. Evra 3 yake imepwaya sana leo, anakimbilia mbele sana na kuacha kuzuia, vijana wanapita huko kushoto maybe SAF atamweleza this time.

Hawa wakifungwa leo watakuwa wameniharibia week(end) yangu yote , nina imani na Tevez atatutoa.

Mashabiki wanapiga kelele Attack! Attack! Attack! leo kuna kazi.
 
SAF atakuwa amewatukana half time, naona sasa wanafanya mambo ya msingi Man U 4 : 2 Spurs
 
SAF atakuwa amewatukana half time, naona sasa wanafanya mambo ya msingi Man U 4 : 2 Spurs

Naona Spurs wako shellshocked goli 4 ndani ya dakika 12.

Naona hakuna aliyetolewa nundu-unakumbuka Beckham alivyorushiwa kiautu?-.
 
Last edited:
Hongera Man Utd, sijaangalia huu mpira ila mpaka half-time nikajua leo kama siyo kichapo ni draw.
Kuna wengine walianza kukosa raha mapema 'Icadon', hope sasahivi weekend inaendelea vizuri.
 
Hongera Man Utd, sijaangalia huu mpira ila mpaka half-time nikajua leo kama siyo kichapo ni draw.
Kuna wengine walianza kukosa raha mapema 'Icadon', hope sasahivi weekend inaendelea vizuri.

Bwana weh!! maana karaha ilianza kwa kutumiwa text msgs za ajabu ajabu na washabiki wa Chelsea na Liverpool, sasa hivi weekend murua kabisa.
 
Icadon what happened huu mchezo umegeuka kabisa

Unasahau kuwa we are the Kings of comebacks. Ofcourse wengi mtasema Howard Webb katubeba kwenye ile penalty lakini vijana wamejirudi na kurekebisha makosa.

Mwaka 2001 tulikuwa nyuma 3-0 mpaka half time ndani ya White Hart lane, lakini tulirudisha na kushinda 5-3.
 
Last edited:
Unasahau kuwa we are the Kings of comebacks. Ofcourse wengi mtasema Howard Webb katubeba kwenye ile penalty lakini vijana wamejirudi na kurekebisha makosa.

Nafurahi umeliona hilo, mzee si umecheza hata cha ndimu?
 
duh, sikutegemea, haya magoli yote yametoka wapi? ama kweli kutangulia sio kufika - liver mwaka huu lazima wa-walk alone!
 
Bwana weh!! maana karaha ilianza kwa kutumiwa text msgs za ajabu ajabu na washabiki wa Chelsea na Liverpool, sasa hivi weekend murua kabisa.

Naona lazima utuhusishe katika wasiwasi wako.
Haya bwana, hongera nyengine hio.Ama kweli mpira ni upepo.

..leo sijakusikia ukilalamika eti magoli ya netboli!
 
Back
Top Bottom