Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
Asante mkuu, gemu lina pande tatu, na huo ndo upande wa tatu. Tutajipanga!
Leo baada ya kufungwa ndo mnakubali gemu liko na pande mbili, eeeeh.....mbona wenzenu tukitwangwa huwa hamtambui hilo...ha!ha!h!Ha!ha anyway poleni wote...the likes of MTM, Belo, Belly et al!