Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Andrey-Arshavin-Darren-Fletcher-Manchester-Un_2353999.jpg



Arsene-Wenger-Manchester-United-Arsenal-Premi_2353989.jpg


Wenger appeals for a penalty but the referee says play on.
 
Lile gori la arsenal mwishoni vipi jamani? mi mbona niliona gori lakini eti referee kalikataa vipi?
 
Lile gori la arsenal mwishoni vipi jamani? mi mbona niliona gori lakini eti referee kalikataa vipi?
Goli zuri, yule alikuwa offside hakuucheza mpira na wala kibendera hakuwa amenyoosha mkona hadi goli lilipoingia.

Ingekuwa ManU ndio wamefunga, refa angelikubali.
 
Mhafidhina, tatizo letu siyo washambuliaji (strikers) bali ni viungo (midfielders). Kwa mfano game la leo ndo ilikuwa ovyo kabisa kwani Giggs alikuwa ovyo kuliko, sijawahi ona akiwa ktk hali ile. Fletcher ndo alikuwa kiungo mzuri, lakini pasi zake butu mno.

Bila kusajili midfielder wawili au mmoja mwenye uwezo kama aliowahi kuwa nao Veron basi tutapata shida sana. SAF amefanya blander kumsajili Owen badala ya Cristiano. Owen ni striker siyo kiungo.

,,,Yaani katika kitu kina niudhi ni FERGIE unakuta anakupangia timu ya ajabu mpaka unashangaa,yule GIGGS hata kama alitengeneza magoli yote mawili alipaswa kum sub mara moja,mtu yupo off form kabisa,kesha zoea mipira ile ya kizamani,mpaka atafute KEEP LEFT wapi na wapi bwana,mechi hizi ni za ANDERSON,lkn babu akishaamua lake ndo humwambii kitu,cheki tushampiga mtu 2,kwanini tusimmalize kabisa kwa 3 au zaidi,akina ROONEY wanaanza kufanya SHOW OFF zisizo na maana,nafikiria the gaffer atakuwa katembeza HAIR DRYER lake huko kwa room,tumeshinda lakini kwa kweli sijavutiwa na uchezaji wetu kabisa so far.
 
Kuna raha zaid ya Soka kuliko kuwafunga awa Ze Gonaz?, HAKUNA...

Mbu; Next time mje na refa na vibendera wenu, then tuone. U dont miss excuses kama fundi nguo (cherehani), au carpentar?!..@#$%
 
Official Stats: United vs Arsenal

Possession - United 50.9% to Arsenal 49.1%

Shots (on target) - United 11 (3) to Arsenal 9 (3)

Corners - United 6 to Arsenal 5

Passing Success Rate - United 74% to Arsenal 76.35%


Game should've ended in a draw to be fair to Arsenal, but no one asked Diaby to put the ball into his own net....lol
 
Naona moderators/Administrators hawapitii hii thread kabisa, tuliomba toka siku nyingi wafute hiyo miaka kwenye heading ibaki Manchester United Fc.

Tafadhali mods mtusikilize angalau ktk hili au tutumie reporting icon?
 
Naona moderators/Administrators hawapitii hii thread kabisa, tuliomba toka siku nyingi wafute hiyo miaka kwenye heading ibaki Manchester United Fc.

Tafadhali mods mtusikilize angalau ktk hili au tutumie reporting icon?


hahaha....Nemesis mimi nimeliona hili ila sasa nikajiuliza je kuna hata moja kati yao hao Admin na Mods ni mwenzetu ama ndio warengo wa kushoto...hahaha Admn and Mods plzzzzzz could you do us a favor
 
Naona moderators/Administrators hawapitii hii thread kabisa, tuliomba toka siku nyingi wafute hiyo miaka kwenye heading ibaki Manchester United Fc.

Tafadhali mods mtusikilize angalau ktk hili au tutumie reporting icon?

Consider it done, msije mkasema eti kwa vile sisi ni mashabiki wa Chelsea
ndo maana hatusikilizi maombi yenu.
 
Kwa kifupi match ya man u Vs Ars.ukweli ni kwamba hadi hiyo match inaisha Ars.wemeonyesha kuwa wana uwezo kuliko Man u na hilo man u walikuwa wanalijua toka awali;ndiyo maana wakaanda fitina ili waweze kuwashinda Ars.
Ushindi wa Man u =soccer kiasi + fitina,hii ina maana wangesema wacheze soccer pekee walikuwa wanaaibika kabisa.
 
Manchester United FC wanakosa kiungo mshambuliaji mahiri na kwa kweli Sir Alex ameshindwa kutoa jibu sahihi.Mechi ya Arsenal imethibisha kile wanazi wa Manchester walichokuwa wakilalamika kwamba Machester wanahitaji kusajili kiungo mahiri kama kweli hatutataka ile aibu ya mechi na Barcelona ijirudie tena.Sir Alex bado anamtegemea Ryan Giggs mwenye umri wa miaka 35 kuwalisha washambuliaji ili kuweza kupata magoli ?.
 
,,,Yaani katika kitu kina niudhi ni FERGIE unakuta anakupangia timu ya ajabu mpaka unashangaa,yule GIGGS hata kama alitengeneza magoli yote mawili alipaswa kum sub mara moja,mtu yupo off form kabisa,kesha zoea mipira ile ya kizamani,mpaka atafute KEEP LEFT wapi na wapi bwana,mechi hizi ni za ANDERSON,lkn babu akishaamua lake ndo humwambii kitu,cheki tushampiga mtu 2,kwanini tusimmalize kabisa kwa 3 au zaidi,akina ROONEY wanaanza kufanya SHOW OFF zisizo na maana,nafikiria the gaffer atakuwa katembeza HAIR DRYER lake huko kwa room,tumeshinda lakini kwa kweli sijavutiwa na uchezaji wetu kabisa so far.

Hapo kwa Giggs nakuunga mkono na mguu Mkuu kwamba umri umekwenda dakika 95 haziwezi tena japo sometimes uzoefu wake unasaidia.
ila hapo penye rangi blue kaka naona kama tumejipa sifa sana coz we both know hatuna cha kujivunia kwenye yale magoli,
na hilo bao la tatu ulilolisema mie nadhani ndio tungeanza la kwanza maana yote mawili tumepewa kama charity. na Rooney juzi nilimuona anahaha tu uwanjani hakuwa na sababu ya kushow off, Man walicheza mpira mmbovu japo tumepata point tatu, binafsi siwezi hata kujisifia mbele ya kadamnasi kwa mpira wa juzi . Arsenal wanaweza tumia ule msemo wa Kufungwa twafungwa lakini chenga twawala.
 
A piece of advice for you....!
Come to think of this you read and revise from morning to evening and when exams come you manage to get only 1 point. Same case applies to Arsenal it doesnt matter how well you play but how well you end it. History will not say that you played good beautiful but rather that you lost. In the same line of thinking being a champion cant only be determined by beating Manutd/Arsenal home away, but being consistence in ur results from August to May the next year!

If you are against my dictum then you are likely to be 'babies fan' who u cant stop from crying and yelling!
 
A piece of advice for you....!

If you are against my dictum then you are likely to be 'babies fan' who u cant stop from crying and yelling!

...Manda, it is know that Mr. Bean and his kids are "EPL Crying Babies"

I wont feel sad for AW because he is always blind for his kids and eyes wide open when it comes to others.
 
Rooney refutes dive claims

Thursday 03 Sep 2009
Manchester United striker Wayne Rooney has denied suggestions that he is a diver after it was alleged that he deceived the referee to win a penalty in Saturday's 2-1 victory against Arsenal.
The 23-year-old England international appeared to already be heading to the ground when Gunners goalkeeper Manuel Almunia upended him during the action-packed Old Trafford encounter.
wayne_rooney.jpg

WAYNE ROONEY
However, the former Everton star said in the build-up to England's friendly international against Slovenia: "Everyone who watches me play knows I'm an honest player.
"I play the game as honestly as I can. If the referee gives a penalty there's nothing you can do. It's a penalty.
"If they want to take punishment further it's down to UEFA and the people who run the game. As players you just want to play.
"Diving has been in the game for years. Probably the coverage the game gets now, with all the cameras around, it gets highlighted a bit more. But it hasn't got any worse.
"You see some that shouldn't have been penalties but get given and others that are clear and don't. The decisions are down to the referee. It's a difficult job but they do the best they can."
__________________
 
...wahenga walisema; nyoka huyo, na apite...utajashtukia kafika miguuni pako. Mnalo hili na nyie!...

huenda FIFA wameamua kusimamisha English domination kwenye UEFA kwa namna zozote ziwezekanavyo,...

walianza na EDUARDO, CHELSEA, sasa MAN U kisha LIVERPOOL nanyi mlisubiri lenu!

EXCLUSIVE: Manchester United are put under FIFA spotlight for pursuit of Le Havre's Paul Pogba

By Matt Lawton
Chief Football Correspondent
Last updated at 8:18 AM on 04th September 2009
article-0-06479EA9000005DC-299_233x329.jpg
Cash offer: Pogba

Manchester United could be the next club hit with a transfer ban after being accused of snatching another young French star from his club.

FIFA are investigating allegations made by Le Havre that the Barclays Premier League champions offered cash to France Under 16 captain Paul Pogba to lure him to Old Trafford.

United argue that Pogba was not under contract with the French club when he signed for United in July. Le Havre claim otherwise and have lodged a complaint with FIFA.

A statement from Le Havre said: ‘United offered very high sums of money to the parents with the aim of obtaining the transfer of their son.

‘At a time when parties are speaking out against the "trading of minors", Manchester United does not hesitate to uproot a 16-year-old kid.'
Le Havre managing director Alain Belsoeur claims to have documentation showing United offered inducements for Pogba to join them and has vowed to include it in submissions to the world's governing body.

'We are still pursuing our case,' he said. 'It is a very serious case. We are confident that we'll win because it is in the best interests not just of our club but of sport.

'We spend five million euros [about £4.3million] on our academy every year out of a turnover of 12 million euros. It is a huge investment.

article-1211099-0648A070000005DC-910_468x290.jpg

Scrap: Paul Pogba (centre) in action for France Under 16s

'We do that to give a chance to our players to develop for our first team, not to be an academy for others. What is the point of investing in an academy if the players leave at 16? This is clearly a message from FIFA to protect the education system.'


United deny the allegations. A club spokesman said: ‘It is complete nonsense. Everything has been done within FIFA guidelines.'


source; http://www.dailymail.co.uk/sport/fo...A-spotlight-pursuit-Le-Havres-Paul-Pogba.html
 
Back
Top Bottom