Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 335
goli la bellamy tamu sana 🙂
Siku zote Man u wakicheza huwa 11+1=12. I mean ref anaongezeka na kuwa mchezaji wa 12Mi nimejuuta kuangalia mipira ya man u ..marefa lazima waibebe. Mpira unachezwa zaidi ya muda wa kawaida ili washinde tu!
GOAL! INCREDIBLE! BELLAMY SCORES! IT'S 3-3! But what a terrible mistake by Ferdinand! What is he doing, trying to flick the ball over Bellamy on the halfway line? Bellamy takes full advantage, sprinting clear before rounding Foster, getting to the byline and sliding from an acute angle into the back of the net! Amazing!
Siku zote Man u wakicheza huwa 11+1=12. I mean ref anaongezeka na kuwa mchezaji wa 12
Belammy nabali huwa ni mchezaji mzuri sana tatizo injuries huwa zinamsumbua sana hapo utaona mechi ijayo utaambiwa ni majeruhi.Belammy anaweza kuwa man of the match!
l
What a wonderful Game!
100% agreed mkuu! yaani nimeata hasira this is not justice. walisema wangeongeza sekunde 30 zaidi ya zile dakika za kawaida za nyonngeza lakini wapi! katoa free kikc ya utata kuhakikisha wanashinda tu!
Marefa wa UK ni kama wa bongo tu. Dakika 7 zote sijui za nini ...Mi nimejuuta kuangalia mipira ya man u ..marefa lazima waibebe. Mpira unachezwa zaidi ya muda wa kawaida ili washinde tu!
Na hizi Beting huwa mbaya sana kwani na marefarii nina uhakika huwa wana bet kabla ya mechi.100% agreed mkuu! yaani nimeata hasira this is not justice. walisema wangeongeza sekunde 30 zaidi ya zile dakika za kawaida za nyonngeza lakini wapi! katoa free kikc ya utata kuhakikisha wanashinda tu!
Mi nimejuuta kuangalia mipira ya man u ..marefa lazima waibebe. Mpira unachezwa zaidi ya muda wa kawaida ili washinde tu!
kuongeza muda ni advantage kwa timu zote.
Sasa kila mechi ikifunguliwa thread itakuwaje? Ustaarabu is priceless but cheapest.