Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
kuongeza muda ni advantage kwa timu zote.
Mkuu, hapo ideally yes, but kwa mazingira ya mchezo wa leo Man U wamebebwa kabisa. Kama Man city wasingekuwa wamesaazisha unadhani huo muda ungekuwa zaidi ya dakika 4 za mwanzo?
na kwa nini in the first place kuongeza muda zaidi ya muda wa kawaida?
wakulu tusiwalaumu marefa wa kibongo naona hata EPL mambo ni yale yale tu