kuongeza muda ni advantage kwa timu zote.


Mkuu, hapo ideally yes, but kwa mazingira ya mchezo wa leo Man U wamebebwa kabisa. Kama Man city wasingekuwa wamesaazisha unadhani huo muda ungekuwa zaidi ya dakika 4 za mwanzo?

na kwa nini in the first place kuongeza muda zaidi ya muda wa kawaida?

wakulu tusiwalaumu marefa wa kibongo naona hata EPL mambo ni yale yale tu
 
Na hizi Beting huwa mbaya sana kwani na marefarii nina uhakika huwa wana bet kabla ya mechi.


yeah actually unakuta watu wameshabet hela nyingi sana kuwa mfano manu lazima washinde au owen atakingi na atafunga..so kazi ya refa ni kuhakikisha hela za watu haziliwi na yeye huenda akitoka apo ana % yake? wahat a shame to football....
 
namba ya mechi itakuwa sawa na namba ya threads.

ni kweli ustaarabu costs nothing!

Na kila mchezaji akifunguliwa thread itakuwaje?

Na kila tukio, mathalan mchezaji kapigana bar, kakutwa na changudoa etc likifunguliwa thread itakuwaje?
 
Na kila mchezaji akifunguliwa thread itakuwaje?

Na kila tukio, mathalan mchezaji kapigana bar, kakutwa na changudoa etc likifunguliwa thread itakuwaje?


threads zitakuwa ni nyingi zaidi, uko wapi wewe?

idd njema!
 
exactly ndo maana kuna hii formula kuwa Man u ni 11+1=12 uwanjani....hilo halina kubishana

poleni sana, sababu kama hizi haziwezi kuwasaidia hata siku moja, Man United wanacheza mpira ndo maana wanashinda. Ninawaona tu mnavyokata tamaa kutafuta ubingwa mapema hivi.

Kama mngekuwa fair mngetamka makosa ya refa yote. Ile penalt uliiona pale Lescott aliposhika mpira ndani ya box? Ile foul ambayo ingeweza kutoa red card ambayo Anderson alifanyiwa mbona mpo kimya?

Ile red card ya Paul Scholes match ya wiki iliyopita mbona mlikuwa kimya. Leo nini muda? nani anayeongeza muda ni refa wa kati? You people stop your words. Can't help you neither your team.
 
yeah actually unakuta watu wameshabet hela nyingi sana kuwa mfano manu lazima washinde au owen atakingi na atafunga..so kazi ya refa ni kuhakikisha hela za watu haziliwi na yeye huenda akitoka apo ana % yake? wahat a shame to football....
Hapo kaka ninakubaliana na wewe kabisa. Na kabla ya EPL kuanza waliwaonya makocha kuwaongelea marefa vibaya kwamba season hii marefa wamepewa wembe wakuwaonyesha kadi makocha wanaowapuuza.Lakini hatua ya mwisho wao wenyewe wanakuja kuona madudu wayafanyayo na kuomba msamaha kama walivyofanya kwa Wenger.
 
exactly ndo maana kuna hii formula kuwa Man u ni 11+1=12 uwanjani....hilo halina kubishana

kama hii formula ni kweli basi ushindi kwa man united ni kitu cha kawaida, na cha kutegemewa almost always - kwa hiyo whats up? hamkujua kuwa man united watapewa penalty ya bure? au kuongezewa muda? mlijua! sasa mnalialia nini?
 
Kumbuka huyo kamisaa ana sauti nae, ni wale wale wanakuwa pamoja Dressing room ya marefarii kabla na wakati wa mapumziko.
 
Tehetehe!....asa next time mje na marefa wenu sasa, pale ndo Nangwanda Sijaona Lindiiiiiiiiiiiii!, ata aje Tenga na Mwakalebela lazima kieleweke, siku zote timu bora ndio 'hubebwa', embu jaribu kuibeba Portsmouth uone ka itabeba kombe..Lol!
Go United!
 
Hakuna ata siku moja Man U imeshinda wavimba macho wakakubali matokeo, kutwa visingizio ndio maana timu zenu hazifanyi vizuri maana mmekalia kuangalia madudu tuu. Mnalo mwaka huu sie ni mwendo wa kuvunja bikra tuu.
 
exactly ndo maana kuna hii formula kuwa Man u ni 11+1=12 uwanjani....hilo halina kubishana

Mwenye nacho ataongezewa....! Wenye timu hawalalamiki ila washabiki maandazi kelele...buahahahah leo ni kicheko cha kishetani tuu buahahahaha
 
Imebaki bikra moja ya Chelsea kuondolewa
 
kuongeza muda ni advantage kwa timu zote.

the right comment ya kimchezo....kwa sababu sijui hata mimi sikujua huo muda wa nyongeza nani angeshinda.......kwani ingepigwa pass ndefu nyingine kwa Craig.........ManU wangelizwa tena........

hivyo basi suala la muda ni "vague" argument........labda watu wangesema Owen alikuwa offside..........au?

anyway hongereni ManU

Manda,
....nimemtafuta Icadon bila mafanikio........nahisi kabadili jina.....maana hii si kawaida yake......
Nemesis, Belo, na Eq.....mziki mzito Chelsea unawasubiri.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…