He will get injuries again, msifurahi sana!
watu wako wapi leo hapa ukumbini?
...na ulegee!
Jamaa wametoroka baada ya kuona Man U wameshilikia usukani wa ligi. N hii huenda ikawa ndio "for good" hadi mwisho wa ligi.
Chelsea poleni sana!
...na ulegee!
Jamaa wametoroka baada ya kuona Man U wameshilikia usukani wa ligi. N hii huenda ikawa ndio "for good" hadi mwisho wa ligi.
Chelsea poleni sana!
Ha ha ha! Shwari mkuu, c unajua excitment?
Hawa jamaa wametubana sana lakini tutawapiga tu, tumepoteza nafasi kadhaa muhimu kama 3. Nadhani second half mambo yataenda vizuri.
kwanini SAF alimtoa Owen dk ya 20?
...na ulegee!
Jamaa wametoroka baada ya kuona Man U wameshilikia usukani wa ligi. N hii huenda ikawa ndio "for good" hadi mwisho wa ligi.
Chelsea poleni sana!
Naona Giggs ameamua kuwanyamazisha critics wake waliopiga kelele kuhusu kupewa PFA Player of the Year award, mjamaa yuko kwenye form sana season hii naomba aendelee hivi hivi. Berbatov naye alishine jana.