Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa waturuki wanataka kutuchafulia record yetu sasa ya kutokufungwa nyumbani kwenye mechi za Champions League tangu 2005.
Mkubwa nilifurahia kikosi kwani hao madogo nao wanahitaji experience kwenye mashindano makubwa ,vile ni kupumzisha kikosi cha kwanzaMatch ya mwisho itakuwa ngumu sana, wale Wajerumani siyo mchezo tena watakuwa nyumbani kwao. Mara zingine huwa siyapendi maamuzi ya SAF. Mechi ya leo aliamua kuitoa sadaka kwa sababu ya semi-final ya Curling.
Mkubwa nilifurahia kikosi kwani hao madogo nao wanahitaji experience kwenye mashindano makubwa ,vile ni kupumzisha kikosi cha kwanza
Naona mnawasahau The Blues
Ila wale watoto wamecheza vizuri....!!
Mbona Wenger hajawahi kuchezesha hao kindergaten kwenye ChampsMfamaji.......!![]()
Ila wale watoto wamecheza vizuri....!!