Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 34
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwatakii mabaya bwawa la maini lakini ningependa kurevenge kwa bluz kule moscow!
Halaf Mkuu Ab-Titchaz acha uzushi, ilikuaje ukasoma na kuanza kuchangia kama ulidhani ni Man exclusive thread? Hata mi kule kwa ganaz huwa napita na kuchombeza kidogo!
Hakuna shaka mkuu,tupo pamoja. Sisi wote ni JF na huwa tunatembeleana sana, lijue hilo. Hata mie pia huwa nawapitia sana watani zangu wa Arsenal pale jamvini kwao kwa utani, pongezi na madongo ya hapa na pale, ili mradi tu tunakuwa pamoja kuijenga JF kama wao wanavyofanya hapa kwetu.
Uwe huru tu mtu wetu.
Nikushukuru kwa pongezi zako, niwatakie nanyi Chelsea na Liverpool mchezo mwema leo jioni, najua mmoja wenu lazima nikutane nae Moskva.
Kila la kheri!
😀
I love Maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan Utd... Long live Man U
Mkuu Manda asante kwa compliment.
![]()
Ab-Titchaz tusubiri hiyo kitu ya Moscow, perfect time for our revenge.......bout the uzushi thing i was just kidding...futboli bila aina hii ya ushabiki hainogi...
Wakuu wote wa Man U hapa JF, nilimwona SAF akiangalia mechi ya bwawa la maini na bluuz, ila shaka alikua anachorea mistari mikakati yake ya kuchukua UCL cup... Long live Man and good luck in Moscow!
Asante Bw. Idimi,
Hivi tunavyoongea Ze Bluzz wamemwasha Liverpool na safari
ya kuelekea Moscow tayari.Mimi pia nafungasha vifurushi vyangu
nielekee huko ukomunisti!
Kama wapenzi wa soka najua the next few weeks itakua mambo ya
kusifiana nani zaidi???...I can't wait for the finals and my
bet is on Chelsea...msiniue tafadhali!Asanteni.
Tumekaribia Bw Idimi and may the best man win!!!
Kwa kufuru na hela za Abromavich nina uhakika atawanunulia staffers wote wa Stamford Bridge tickets za kwenda Moscow...
Kuna mtu niliwahi kubishana naye kuhusu Chelsea kuingia final au kuchukua Champions League under Mourinho, nikamwambia that will Never Happen...na kweli yametokea...
Ila kwenye mchuano kama huu ndio mtamjua SAF ni nani, I hope we will break the Westham jinx....maana hii mechi inanikumbusha miaka ile wakaishia kuchukua Blackburn.
One United!!!
Mkuu KKN asante kwa kuliona hilo, i take the same for UCL!....itakuwa injustice kwa Man U kutoshinda title this season tells it all!
Its now 4-1.
Naona mumepata mwembe wa chini chini..mnabembea tu!!!
Kwa roho safi lakini!
Sawa Mkuu..... LOL
Ila nadhani hawa hammers sio mwembe wa chini.
😀
I love Maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan Utd... Long live Man U
Mkuu Manda asante kwa compliment.
![]()
Its now 4-1.