Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Berbatov anakuja duh watatukoma
........THERE IS ONLY ONE UNITED IN THE WORLD.......................
Safari hii nakwambia kuna watu wataweka mpira kwapani...to be honest Beba akikaa katikati na Rooney, kulia Tevez kushoto Ron...nyuma yao kuna pasi za akina 'Carrick na Ander zinamiminika' nakwambia msimu huu treble ileeeeeeeee!!
Mmmmmh MANURE kwa kujifariji tu hamjambo!!!poleni sana kwa matokeo ya mechi na Newcastle shaanza kuachwa hivo....Arsenal.L'pool na Chelsea haooooooooooooooooooo
Its too early to rule us out....by the way nina hamu sana na Chelsea i wish twende tuka-wabikiri kwao, its look like hawa jmaa wanajiamini sana na to be honest wana good squad!
Big Phil..we are coming!!
Alieianzisha hii forum namfagilia mia kwa mia....!
BWana mi naipenda Man U sana, ikifungwa hamu ya kula sina...! Well, Bado sijarizika na safu ya foward ya Man U, inaonekana bado ni butu, tunamhitaji sana Babatov, jamani hata kwa mkopo tumchukue tu tutalipa baadae taratibu taratibu...!
Au ikibidi tumuuze Saha halafu tuongezee na fungu kidogo kwenye account yetu ili tumpate Babatov. Saha aende kwao ufaransa akaendee kuweka kalikiti nywele, kashachuja...!
Karib sana Mkuu,
Hapa umefika...hope u will be there against all odds...thats all about unazi, isn't it?
Kama hupendi kuugua vidonda vya tumbo kwa ajili ya soka, basi Man U must be the first in your list!
Its too early to rule us out....by the way nina hamu sana na Chelsea i wish twende tuka-wabikiri kwao, its look like hawa jmaa wanajiamini sana na to be honest wana good squad!
Big Phil..we are coming!!
Wewe sasa unakufuru....and guess what? We will be waiting.
Kama kawaida, mafisadi wa Premier League wanajulikana. Lazima kuwe na controversial decisions katika mechi zote za Man Utd, halafu zote zinawafeva wao, why?
Hmm yani mechi ya pili tuu mshaanza!!! wengine wamesha turule out....Kuna kazi mwaka huu...