Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbu nyumbu akili zenu huwa mnaziacha wapi?Leo Newcastle anakula 2. Mwaka tutaumaliza vizuri tu. GGMU
Wewe amini leo Newcastle anakufa. Utanambia usiku tu.Nyumbu nyumbu akili zenu huwa mnaziacha wapi?
Squad ya Newcastle kwa wachezaji wa nyumbu hakuna anaepata namba starting 11
Mara ya mwisho kubeba marefa walikuwa wanavaa suti nyeupeShabiki wa aseno unaitukana united inashangaza maana kama ni ubingwa epl sikumbuki aseno mara ya mwisho kubeba ni lini
Leo mie mwenyewe nabet nikimuua Man Utd, furaha nikose na pesa pia nikose!Linakufa tena jitu leo.
Isak, gordon, guimares leo mtawataja majina yao ya utotoniWewe amini leo Newcastle anakufa. Utanambia usiku tu.
[emoji2]l[emoji16]
View attachment 3188642
"Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.Watoto wa bwenyenye lenye mihela yake mjini Sir Jim barobaro boys wanashuka kwenda kuwashiiiika.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man united 3 vs Newcastle 1
Tutapiga kama ngoma.View attachment 3188850
We jamaa hujui mpira."Mawinga" watatu makini wako nje (Garna, Rash, Anthony) halafu unaweka mtu hajawahi kuxheza winga toka azaliwe (Zirkzee) na unategemea kushinda. Huyu kocha ni mbwa tu.
Mechi ya juzi muda wote nilikua nimekasirika
Kwa hiyo ndio unamletea huo mfumo Newcastle? Leo 5 tunagongwa. Kwa jinsi Zirkzee alivyochemka mechi 2 zilizopita na Anthony alivyofanya vizuri mechi iliyopita, kwa njia yoyote angetafuta mfumo unaomfanya Anthony awepo na Zirkzee asiwepo.We jamaa hujui mpira.
Huo mfumo hauna winga.
Kuna wing-back na 2 no 10.
Tayari tumegongwaWe jamaa hujui mpira.
Huo mfumo hauna winga.
Kuna wing-back na 2 no 10.