Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Sawaa mkuuChelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawaa mkuuChelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbu
Na mtasemaVipigo tu kila siku..
Daah..inauma sana
Mtakatifu ulale😃Na mtasema
Kwa aina ya wachezaji alionao slot lazima timu iende na ifanye vizuri.na timu inaenda. hata hapo united mambo yanabidi yaende tu kuamini hawa makocha wote wanaokuja hawana uwezo hii mimi binafsi ntabisha sana
Ataweka 5-4-1 siku hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Amorim anajua Epl ni sawa na ligi yao ya madafu Primeira Liga, njoga jumapili Liverpool wamkaribishe rasmi kweli ligi ya kiume ndio akili itamkaa sawa na hio formation yake ya 3-4-2-1
10Hag aligongwa 7 huyu akikoswakoswa goli 8+ zinamuhusu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe mshangazi ulikua umenyang'anywa simu na shemeji?Majimaji fc is better than Man utd
😂😂😂😂😂Sawa nyumbu zinateketea ila Hiyo inglishi kiboko bibie😂😂
Mbona kimya mkuu ubao unasomekaje? 😂Subir uone mkuu 😂
😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe mshangazi ulikua umenyang'anywa simu na shemeji?
Ngoja nimpigie mwanasheria wangu 😭Mbona kimya mkuu ubao unasomekaje? 😂
Nipo naangalia cheka2Mtakatifu ulale😃
Kwahiyo Amorim unamuona kama Coy Mzungu sio😃Nipo naangalia cheka2
Man u hawana tofauti na cheka2
Hii timu itashuka daraja etHawa wachezaji hawamtaki kocha nini mbona wanatembea tuu humo uwanjani
Chelsea nanyi mwisho wa msimu tutawaokota nafasi ya 5 au 6Ngoja nimpigie mwanasheria wangu 😭
apewe muda, na wachwezajiKwa aina ya wachezaji alionao slot lazima timu iende na ifanye vizuri.
Kwahiyo mkuu wewe unayo imani na Ruben amorim?
kwa utd vyote atapewaapewe muda, na wachwezaji
MAINOO kaja kubadili kila kitu.Kobe mauno kaingia kuyakata mauno😂😂