Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona timu imepata nguvu kiasiMAINOO kaja kubadili kila kitu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shabiki la Ukengeni linakuja kuropokwa huku wakati na lenyewe limeshapigwa goli 2 na timu ya pili kutoka mwisho iliyopanda daraja msimu huu.Chelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbu
Amorim ni mama mawigi mtupuKwahiyo Amorim unamuona kama Coy Mzungu sio😃
Duh😃Amorim ni mama mawigi mtupu
Ten Haag alisajili wachezaji wepesi mno hawana uwezo kabisa wa kuendana na hii mikikimikiki ya eplWazee tuombe EPL watutoe tu kushiriki tuanze msimu ujao kipara ni mhaini anapaswa kunyongwa kkmk
Asante Mola alituepusha na hilo tapeliDuh😃
Wewe kila timu unayoshabikia lazima iwe na gunduTuna hali mbaya
Kwa saizi bora ni stick tu kwenye NBC
Endelea kuotaHahaha nimecheka balaa. Unajua mwanzoni nilidhani wewe ni chelsea. Lakini nakuhakikishia Nottingham forest wanachukua ubingwa niamini.
Uumbwaaa @Chaliifrancis
Nyau de adriz
Hivi ni wewe kwenye hiyo avatar picha?Endelea kuota
Ardhi ya Mola hii
Kombe lishapigwa nembo yetu
Jezi nimeandaa kudunda nayo ardhi ya MolaHivi ni wewe kwenye hiyo avatar picha.
Subiri utaona wenye kombe letu tunavyowaua hawa nyumbuWatawaharibia nakuisafishia njia Nottingham forest.