Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kushuka daraja ndio kilichobakiNi jibi hatma ya man united
Wewe""%£Manyumbu mechi na Newcastle leo wamepiga shot on target 1 tu dakika zote 90. Hatari sana halafu wako nyumbani kwao OT 😀😀.
Vipi hukoo...???Chelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbu
Achana na chelsea ongeza nguvu ombea hawa wanaoelekea kushuka darajaDakika 3 za utulivu tuwaombee man utd na chelsea.
Sasa timu lenyewe la kijinga, ya nini tupoteze maneno yetu ya maana.Nilisoma kumbe ujinga mtupu
Arsenal sasa kaingiaje hapa mkuuUko sahihi hii team imerogwa na arsena8
Tutafufukia kwa liverkuku jumapili.
Twende na hoja kwanini una muita tapeli?Huyu tapeli Amorin almanusra atue viunga vya Anfield. 😊
Stats zinaongea.Twende na hoja kwanini una muita tapeli?
Ukiwaangalia players wa united profile zao ni zuna suit kwenye huo mfumo wa amorim?, united players unaweza linganisha na sporting ?,Stats zinaongea.
Achana na Stats umeangalia mechi kaangalie Hata Highlights ndo uje ucoment hapaManyumbu mechi na Newcastle leo wamepiga shot on target 1 tu dakika zote 90. Hatari sana halafu wako nyumbani kwao OT 😀😀.
Mkuu tubaki tu kwenye hakika na kweli ya takwimu, maana ukileta sababu ni nyingi sio moja au mbili.Ukiwaangalia players wa united profile zao ni zuna suit kwenye huo mfumo wa amorim?, united players unaweza linganisha na sporting ?,