Manchester United yatangaza kumtimua kocha Jose Mourinho

Tuleteeni Uncle Wenger basi.....
 

We hiyo habari umeitoa wapi?
 
Sasa PSG asibwete,usiku wa UEFA champions utakuwa mkali sana kati ya Hawa man utd na Psg,ninaamini PSG anaweza kutolewa na Man utd sasa,wachezaji watakuwA wana morali mpyaaaaaa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…