Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

Taswira ni kada mwenzako kama wewe yaani CCM. Bavicha hakuna wanao toa hoja za ovyo kama MSALANI, CHAMVIGA, CHABRUMA, Simiyu Yetu et cetera.

Mwenye hoja za maana ni wewe peke yako. Haya furahi.
 
watoto wa lumumba ni ful komedi mda wote.....
 
Ndugu zambi ebu nisaidien Nimetapiliwa!Siku moja nilienda kwa Sinza kwa Remmy,nilipata dalali na nikazunguka naye.Sikuzipenda nyumba alizonionyesha.Baada ya Siku tatu nikapigiwa simu ya kuwa umepata nyumba?Nikamwambia bado akasema njoo wa Remmy!Nilipofika kwa Remmy nikampigia simu nimefika akasema yeye ameenda kumuonyesha MTU shamba lakn kuna kijana wake nimsubiri kidogo at agenda kunionyesha nyumba
.Muda so mrefu alikuja kijana akasema anaitwa Fredy,akaenda kutuonyesha nyumba tukaipenda!Akasema mwenyewe nyumba yupo makongo na kesho take akatupeleka kwenda kulipa.Tukalipa kumbe alitupeleka wa mwenyewe nyumba fake!Hebu nisaidien kimawazo nifanyeje jaman wamenipiga million sita heal yenyewe ilikywa nin mkopo
 
Ndugu zambi ebu nisaidien Nimetapiliwa!Siku moja nilienda kwa Sinza kwa Remmy,nilipata dalali na nikazunguka naye.Sikuzipenda nyumba alizonionyesha.Baada ya Siku tatu nikapigiwa simu ya kuwa umepata nyumba?Nikamwambia bado akasema njoo wa Remmy!Nilipofika kwa Remmy nikampigia simu nimefika akasema yeye ameenda kumuonyesha MTU shamba lakn kuna kijana wake nimsubiri kidogo at agenda kunionyesha nyumba
.Muda so mrefu alikuja kijana akasema anaitwa Fredy,akaenda kutuonyesha nyumba tukaipenda!Akasema mwenyewe nyumba yupo makongo na kesho take akatupeleka kwenda kulipa.Tukalipa kumbe alitupeleka wa mwenyewe nyumba fake!Hebu nisaidien kimawazo nifanyeje jaman wamenipiga million sita heal yenyewe ilikywa nin mkopo

Kweli weye abunwasi
 
...mmmh!...maneno iko mingi sana...hivi kumbe mtu unaemwona kuna uwezekano mkubwa akawa sio yule unayemtazama au kumwangalia!?...hapa inabidi kutafuta tofauti ya mbili mara mbili na mbili jumlisha na mbili,ukipata jibu itakuwia raisi kujua nini kilitangulia kati kuku na yai...
Aha ha ha,,yani tabasam la sura yako hapo,,daah limifanya nicheke hadi nishindwe kucomment


Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom