kweyamba_dave
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 961
- 483
naunga mkono hoja, yule hakuwa mandela wa kweli!
Mwenzio kautelekeza uzi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naunga mkono hoja, yule hakuwa mandela wa kweli!
Mwenzio kautelekeza uzi huu
Naweza hata mimi kukubaliana na wewe. Tatizo ni hilo jina lako tu,
Huyu atakuwa ni bavichaa tu. Hakuna zaidi.
Taswira ni kada mwenzako kama wewe yaani CCM. Bavicha hakuna wanao toa hoja za ovyo kama MSALANI, CHAMVIGA, CHABRUMA, Simiyu Yetu et cetera.
Ndugu zambi ebu nisaidien Nimetapiliwa!Siku moja nilienda kwa Sinza kwa Remmy,nilipata dalali na nikazunguka naye.Sikuzipenda nyumba alizonionyesha.Baada ya Siku tatu nikapigiwa simu ya kuwa umepata nyumba?Nikamwambia bado akasema njoo wa Remmy!Nilipofika kwa Remmy nikampigia simu nimefika akasema yeye ameenda kumuonyesha MTU shamba lakn kuna kijana wake nimsubiri kidogo at agenda kunionyesha nyumba
.Muda so mrefu alikuja kijana akasema anaitwa Fredy,akaenda kutuonyesha nyumba tukaipenda!Akasema mwenyewe nyumba yupo makongo na kesho take akatupeleka kwenda kulipa.Tukalipa kumbe alitupeleka wa mwenyewe nyumba fake!Hebu nisaidien kimawazo nifanyeje jaman wamenipiga million sita heal yenyewe ilikywa nin mkopo
Aha ha ha,,yani tabasam la sura yako hapo,,daah limifanya nicheke hadi nishindwe kucomment...mmmh!...maneno iko mingi sana...hivi kumbe mtu unaemwona kuna uwezekano mkubwa akawa sio yule unayemtazama au kumwangalia!?...hapa inabidi kutafuta tofauti ya mbili mara mbili na mbili jumlisha na mbili,ukipata jibu itakuwia raisi kujua nini kilitangulia kati kuku na yai...
Kwa nini?Mhhhhhh sidhani kama ni kweli
Mbona jina lake halina tatizo?
Kwa nini?