Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

duh!! nimeamini ukishakufa ndipo watu wataanza kukupa sifa!!!!!!!!!!!!!! hizo habari zinaweza kutumiwa na upinzani kuelekea uchaguzi kuking'oa ANC!!!!!!! duh!!!!
 
Haya ndiyo maswali ya msingi kujiuliza katika huu uzi.Nashangaa wengine wanapomtukana mleta mada.

Majibu ya maswali yatokanayo na uelewe mdogo>
1. Mandela na Winnie hawakuwa na tofauti za kama watu wanavyofikiria. Ila walikubaliana kuishi maisha yale ambayo watu walikuwa wakiyaona kama tofauti wengine wakifikiri wamekoseana na kutokubaliana kusameheana.
2. Kuna watu ambao walikuwa na Mandela gerezani hao ndiyo walistahili na kuwa na uhalali wa kusema hayo waliyoyasema. Watu wengi waliokuwa walifikiri Mandela alichokuwa akipambabana nacho ni "black consciousness na anti apatheid" si kisasa na ubaguzi dhidi ya weusi na hata Steve Biko pia wafuasi wake hawakumuelewa nae alichokuwa akipambana raia wenye haki sawa. Nafikiri katika hili pia niweke wazi humu JF watu wengi wanashindwa kutofautisha kati ya siasa za vyama vingi na maendeleo kwa ajili ya watanzania na si utawala kuwa kwa chama cha upinzani.
3.Wanamuhusudu kwa kuwa hakuwa na kisasi. Na hata walipotaka kumtoa gerezani aliwaambia kwanza watoke wenzeke wote kwanza yeye angikuwa wa mwisho kutoka na ndivyo ilivyokuwa,
4. Alishasema mwenyewe hahitaji kutakaswa kama alivyo kwa Nyerere pia asingekubali kuitwa mtakatifu
THE QUESTION IS IF THE INFALLIBLE ARE GOD'S CHOSEN DO THEY HAVE TO RESIGN?
 
Hapa Falsafa ni kutilia mashaka kila kitu ikiwemo na uwepo wa anayeleta mada. Hizi bidhaa feki zimetutia kiwewe hadi hakuna tunachokiamini, sintashangaa kusikia hata .... wa Mwinyi si yule ila huyu Marekani ilimtengeneza kukidhi mahitaji yake...wabongo bana!
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

Kaazi kwelikweli, sasa naanza kuamini kuwa unaweza kuanzisha wazo au kitu cochote na ni lazima utapata tu wafuasi! wewe na akili yako timamu unaona maneno ya hao "waliokata tamaa" ni sahihi na wanaweza kumtambua kwa uzuri zaidi Mandela kuliko ndugu zake wa damu? HAYA WAKINA TOMASO NENDENI MKAFUKUE KABURI MPIME DNA!
 
Kuna watu wanapenda kujiover dose kwenye mambo madogo? sasa familia na ukoo wa mandela nao walidanganywaje mpaka kufikia kujua huyo ni mandela original ikiwa tu mapacha waliofanana tu ndugu na watu wa karibu wanaweza kuwatofautisha.
SOMETIME TO RELAX SIO KILA KITU TUUMIZE UBONGO HATA KWENYE HESABU ZA 1+1 jibu tuogope kusema 2
 
Conspiracy theories kwenye masuala makubwa kama Maisha ya Mandela huwa hazikosekani....Hii ni moja ya hizo conspiracy theories.
 
naungana na mtoa mada kwani ile hotuba ya jakaya ni kama vile ilijaa lawama kwa marehemu isingekuwa rahisi apotezee ya kale hata kukumbuka viatu tu kungetosha watu tuamini ndie yeye
 
jela alikuwa peke yake? huyo mtu aliyekuwa trained alifungwa kwa kosa lipi? ikiwa mpango ulipangwa wakumtenganisha na Winnie basi huyu Mama lazima angekuwa na habar juu ya hilo kwani sababu iliyowafanya watengane ipo wazi ni yule mwanasheria.kigezo cha alitenganishwa na Winnie kwa kuwa yeye alikuwa anamfahamu Mandela original ni uongo kama angeonekana yuko weak kitandani kuliko Mandela original sababu ya kuwa kuishi jela kumemdhoofisha isingetosha?.naishia hapa ukibisha narudi tena
 
Hata yesu inasemekana waisraeli walipotaka kumsulubu na kumuua inasemekana waliyemsulubu na kumuua siye yesu mwenyewe bali alikuwa ni mtu aliyefananishiwa naye yesu alipaishwa mbinguni ,baadaye walipojihesabu wakaona amepungua mtu mmoja kumbe ni yesu aliyepaishwa
 
Moderator hapa hamuwajibiki ipasavyo hii thread inapaswa kupelekwa jukwaa la jokes + udaku.
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

Naona hujamaliza vidonge vyako vya wehu
 
Tatizo la kunywa Umkhombothi na shakeshake (aina za pombe huko bondeni)
 
Back
Top Bottom