Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

Nasubiri Obama naye baadaye watamsema vipi 'Saint or Devil'?
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

Hii imekaa kiupuuzi,kipinzani, kimajungu, fitna, uzushi wa kwenye grocers kwa wanaokunywa na kucheza pool muda wa kazi.
"There is nothing sacred or inherently superior about non-violent methods of struggle."
By "Real" Nelson Mandela
 
siwezi sema habari hii ni ya kweli ama la ila kuna vitu vinanipa maswali mengi.
1. kwa nini alishindwa kusameheana na winnie wakati ni shujaa wa kusamehe na yeye na winnie wametoka mbali au winnie alikataa?
2. je kuna ukweli kuwa kweli alipandikizwa ili akitoka jela ahubiri msamaha wa hali ya juu maana wazungu walihisi mandela mwenyewe angetoka gerezani basi ingekuwa kiama chao?
3. mbona wazungu wanamuhusudu sana isivyo kawaida?
4. mambo aliyofanyiwa gerezani kwa mtu wa kawaida kusamehe kirahisirahisi tu inahitaji utakatifu wa hali ya juu na usiokuwa wa kawaida. kama kweli ni yeye Mandela original basi anastahili kutangazwa mtakatifu haraka sana
Haya ndiyo maswali ya msingi kujiuliza katika huu uzi.Nashangaa wengine wanapomtukana mleta mada.
 
hakika huu ni utata mkubwa cheki kwa Tz Nyerere mwenyewe aliwatimua wote pamoja na kwamba hawakumtesa ijekuwa yeye
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

Akili zako sawa na za slaa....acha kupandkiza chuki zczo na mcngi.....
 
Mmmmh kuna mzee mmoja mtaani kwetu Mwakambinda aliyefariki mwaka 2010 akiwa na miaka 108 amewahi nambia hli sula kuwa yule c mandela halisi,sasa cjui ni kweli ama lah?
 
Mmmmh kuna mzee mmoja mtaani kwetu Mwakambinda aliyefariki mwaka 2010 akiwa na miaka 108 amewahi nambia hli sula kuwa yule c mandela halisi,sasa cjui ni kweli ama lah?

Watu wengi walitegemea sana kuwa Mandela angelipiza kisasi, lakini matarajio hayo yakawa sivyo!!, Kuhusu Kusameheana na Winnie? Kwani mtu huwezi kumsamehe na kumuacha aendelee na maisha yake?, Si mawasiliano yanaendelea kama kawaida. Na yule kama angekuwa Mandela feki, Winnie angejua kwa kuwa kipindi chote akiwa Gerezani alikuwa anamtembelea!! Kwa hiyo yeye ndio angekuwa mtu wa kwanza kumtambua pamoja na watoto waliokuwa wanamtembelea gerezani.

_66651950_66651949.jpg


_71572086_71572085.jpg


_71572978_71572976.jpg


Mandela is the same, yesterday Today and Forever!
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............
SA karibu inapata mugabe wake waafrika wataanza kukombolewa kiuchumi soon
 
Mmmhh hiyo kitu inasadikika tu hakuna ushahid wakutosha, laiti kama ingekuwaivyo tetesi zingekuwa nyingi mno... pia hyo sababu ya 5 naipnga kutokn yaezekan MADIBA alivyotok gerezan kwa kipnd kiref aliathiriwa kisaikolojia hvyo hakuweza endeleza harakati kama ilivyo mwanzo. Bnadam tunabadlk kla sku kutkana na mazngra, mazingra ya Gereza yalimbadilisha TATA MADIBA..
Akin nashkuru kutupa changamoto ya kufikiri..
 
Chamsingi ambacho kwangu nakiona ni SA kupata uhuru wake haya mengine yataibuka na kutufikirisha sana akili na hatuwezi tena badirisha hayo yaliyopita.Awe fake or Real Madiba anastahili pongezi.
 
hii imekaa kiupuuzi,kipinzani, kimajungu, fitna, uzushi wa kwenye grocers kwa wanaokunywa na kucheza pool muda wa kazi.
"there is nothing sacred or inherently superior about non-violent methods of struggle."
by "real" nelson mandela

Definitely
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

haya yote ni kwa sababu ya njaa na u-jobless
 
Kwa maneno hayo, hata jamaa zetu wa Lumumba watasema Mkuu anayeshabikia Katiba Mpya ambayo siyo sera ya CCM ni feki. Kachongwa na kufundishwa na CHADEMA.
 
Back
Top Bottom