Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............
Haya ndiyo maswali ya msingi kujiuliza katika huu uzi.Nashangaa wengine wanapomtukana mleta mada.siwezi sema habari hii ni ya kweli ama la ila kuna vitu vinanipa maswali mengi.
1. kwa nini alishindwa kusameheana na winnie wakati ni shujaa wa kusamehe na yeye na winnie wametoka mbali au winnie alikataa?
2. je kuna ukweli kuwa kweli alipandikizwa ili akitoka jela ahubiri msamaha wa hali ya juu maana wazungu walihisi mandela mwenyewe angetoka gerezani basi ingekuwa kiama chao?
3. mbona wazungu wanamuhusudu sana isivyo kawaida?
4. mambo aliyofanyiwa gerezani kwa mtu wa kawaida kusamehe kirahisirahisi tu inahitaji utakatifu wa hali ya juu na usiokuwa wa kawaida. kama kweli ni yeye Mandela original basi anastahili kutangazwa mtakatifu haraka sana
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............
Mmmmh kuna mzee mmoja mtaani kwetu Mwakambinda aliyefariki mwaka 2010 akiwa na miaka 108 amewahi nambia hli sula kuwa yule c mandela halisi,sasa cjui ni kweli ama lah?
Teh teh teh!are you real serious?unakataa hoja kwa ajili ya jina?Naweza hata mimi kukubaliana na wewe. Tatizo ni hilo jina lako tu,
SA karibu inapata mugabe wake waafrika wataanza kukombolewa kiuchumi soonInavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............
hii imekaa kiupuuzi,kipinzani, kimajungu, fitna, uzushi wa kwenye grocers kwa wanaokunywa na kucheza pool muda wa kazi.
"there is nothing sacred or inherently superior about non-violent methods of struggle."by "real" nelson mandela
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............