Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

Mandela halisi aliuwawa na makaburu huyu ni feki

weakleaks SA walipublish ,akubaliano aliyofanya mandela na CIA kule Roben Island... ni kweli mandela alibadili mtazamo baada ya kutolewa gerazani na kuanza kushirikiana na Dicklack kwa kuwa kutoka kwake ni makubaliano yaliyosainia kijasusi gerezani.....matarajio ya waafrika kusini na Afrika kwa ujumla na hata ANC yaliathiriwa vibaya na hali hii ya makubaliano......ukiangalia mandela alitoa mchango mdogo sana katika politics za Africa sa a continent, usually aliongelea SA hata baada ya kutoka....na hata kwenda kwake Addis Ababa ni kwa shinikizo la Dr Salim Ahmed Salim..baada ya kukutana naye DSM..baada ya tata kutoka jela hakutaka kwenda kuhutubia Africa huko Addis kwa sababu anayoijua yeye.Ukitaka kumjua mtu wa wazungu..tazama wanavyompamba
 
Ukiambiwa kama mimi ndio baba ako, utaamini au utakataa!
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

Ukiambiwa kama mimi ndio baba ako, utaamini au utakataa!
 
Ndugu yanguwe,wanaume ni wale wale hata kama ni Mandela! Kama Winnie ndiye angekuwa mfungwa Huyo babu angemsubiri? si angeoa kabisa! si afadhari Winnie alikuwa anaiba, kitu kinachofanywa hata na watu walio kwenye ndoa hai bila mtu hata kuwa safari.
Kama alijua kusamehe na ku reconcile alishindwa nini hapo? basi tu kamba hukatikia pabovu, alikuwa anatafuta sababu ya kumwoa Graca.

Nani ana bisha???

Zinaa ni zinaa tu, haina excuse.
Mzinifu hafai kuishi katika maisha ya ndoa (uzinzi ni dhuluma kubwa to your partner )
 
Conspiracy theories abound.

Hata Hastings Kamuzu Banda naye si original, original alifia Marekani, aliyerudi Malawi alikuwa Mmarekani aliyejifanya kama Banda.

What's next? Nyerere alikuwa msukule wa Waingereza?
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi

Matatizo ya hoja hizi ni kama ifuatavyo:-

1) Robben island Mandela hakufungwa pekee yake. Na wengi waliofungwa bado wako hai na wengineo wanakaribia umri wa mandela. Kudai kuwa mateso ya Robben Island yangelimzuia mandela kufikia umri mkubwa yanazimwa na khoja hizi linganishi.

2) Katika ndoa yake na Winnie Mandela alikiri kuwa ni Winnie aliyekuwa hataki kumpa unyumba kwa kuchelewa kulala kitandani akisubiria mzee ameuchapa ndiyo anakanyaga kitandani. Hivyo khoja yako kuwa ni Mandela alikuwa anamkwepa Winnie haikuzingatia taarifa halisi za wahusika..........

3) Katika kufungwa, kaburu alijenga mazingira ya kuwarekebisha kwa kuwanyima nafasi ya kutembea-tembea ndani ya jela na mawasiliano kuwa madogo. Unapoishi miaka mingi kwenye kijichumba kidogo na mitazamo hubadilika na unakuwa mpole maana hata pa kukanyaga ukajidai napo huna.................na hata kunusa kharufu ya kinyesi na mkojo wako uliojisaidia na kulala nao usiku mzima unalenga kuvunja hadhi ya ubinadamu wako na hivyo kubadili misimamo yako..........................kwa hilo mkaburu alifanyakazi siyo utani...............wako waliofungwa pale na karibu wote walibadilika.............Robben island truly changed them........hivyo kuitumia hii kuwa hoja ya kudai mandela alibadilika....au kuuawa na huy is a mere double or even a remote doppelganger...........tatizo wafungwa wote walibadilika......na wengi wao wamekuwa mafisadi.
 
haya maongezi mbona hayajapata kuandikwa enzi za uhai wake ili awajibu kwa vielelezo mahsusi? hizi zitabaki kuwa ni tetesi tu!
 
Naweza hata mimi kukubaliana na wewe. Tatizo ni hilo jina lako tu,

We kwa akili zako za kigamba gamba unaona Dr. Slaa kama J.K aliye shindwa hata kupunguza vifo vya mama na mtoto
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

Yote tisa, jina lako bwana, motoooo!
 
kweli aisee huyu mandela wa sasa ana smile sana wa zamani alikua mtu kazi
 
Waswahili wanasema sana jamani, eti freeman ni motto wa mwalimu, et JK ni mtoto wa Thomas Marealle, Eti Lowassa ni Mtoto wa Mawalla!, Eti Nape ni mtoto wa maji marefu, Eti Pinda ni mtoto wa Mugabe! eti chizi alibaka akazaliwa naibu katibu mkuu! Kuweni wavumilivu kama Mkapa jamani, mbona yeye alipigwa mtama akakaa kimya huku akiendelea kulamba whisky yake?... Mnashangaa prof Kapuya wakati makamba Sr alimzalisha wa shule ya msingi? ..si kiherehere chao tu bana...
 
Inavyosemekana katika mitaa ya weusi waliokata tamaa pale SA, wanaamini mandela halisi alishafia jela (walimuua kwa siri) na makaburu wakatafuta mtu aliye shabihiana naye waka mtrain kwa kipindi kirefu kumwakilisha mandela halisi! wanachodai ni. ...pointi kubwa juu ya dai hili ni 1/.kuwa kunatofauti kubwa ya kifalsafa kati ya mandela aliyeingia gerezani na mandela aliyetoka gerezani. 2/.Mandela aliyetoka gerezani alifika kijijini kwao mara chache sana, ila hakuweza kupaform baadhi ya ceremonial rituals. 3/. Hakuweza kukutana kimwili na mke wake winnie ambaye angeweza kugundua tofauti za mwilini, na mazingira yalishaandaliwa yaliyopelekea kuvunjika kwa uhusiano huo! 4/ mateso ya jela za makaburu hasa kwa wapigania uhuru kama mandela na Salomon malhangu, ni vigumu kutoka jela na kuwa na afya na uwezo wakuishi na kufikia umri aliofikia 'mzee madiba'! wengi waliuwawa jela 5/. ANC ya mandela aliyetoka gerezani haikuwa na mwelekeo wa ukombozi wa weusi .............

Ujue kuna vitu vinaingia vinatoka mmhh mana jamni mika 27 mmhh Jela ya makaburu mateso na fedhea walizofanyiwa ndugu zenu why Mandela awape Nchi? Kuna maswali pia Jamn Tuachilie mbali hii Mada Lakin Me Binafs Nshawah Kujiuliza Na Kingne Mbona Ubaguzi upo Afrika kusini vile vile kwann maeneo mazuri wakae wazungu? Mweuc Asikatze mmhh Jaman Em tutazame....Kwel Ndio Mwelekeo wa ANC? Mandela wa b4 Gereza alikuwa anauchungu na Nchi na watu weusi inawezekana Movie tunazotazama watu wanamtaini mtu kisha original anauwawa ni kwel yapo....Sijui zaidi lakin Mada Hii Imezidi Nijulize yale niliyojiulza....Kwan Mandela huyu ni wakwanza ktk Nchi za AFRIKA KUTETEA UHURU? Kwanin Wazungu wanampa shavu sana hadi Hollywood why nini walichofurahishwa nacho wazungu? Inawezekana Aliyekutesa Na KUkulia familia yako kisha ukamuwqeka tena ndani kwako? Mandela ana moyo Gani AMbao Wengne Hawana?Kama Ni kweli Ni yeye Original Mbona kashindwa kumsamehe Winnie? Nin Kipo Nyuma Ya Panzia?

MANDELA WA KWELI YUKO WAPI? UHURU WA MTU MWEUC UKO WAPI AFRIKA KUSINI? KUJITAWALA NA KUJIAMULIA KUKO WAPI?
 
Back
Top Bottom