weakleaks SA walipublish ,akubaliano aliyofanya mandela na CIA kule Roben Island... ni kweli mandela alibadili mtazamo baada ya kutolewa gerazani na kuanza kushirikiana na Dicklack kwa kuwa kutoka kwake ni makubaliano yaliyosainia kijasusi gerezani.....matarajio ya waafrika kusini na Afrika kwa ujumla na hata ANC yaliathiriwa vibaya na hali hii ya makubaliano......ukiangalia mandela alitoa mchango mdogo sana katika politics za Africa sa a continent, usually aliongelea SA hata baada ya kutoka....na hata kwenda kwake Addis Ababa ni kwa shinikizo la Dr Salim Ahmed Salim..baada ya kukutana naye DSM..baada ya tata kutoka jela hakutaka kwenda kuhutubia Africa huko Addis kwa sababu anayoijua yeye.Ukitaka kumjua mtu wa wazungu..tazama wanavyompamba