Ndani ya sheria na kanuni za boxing hakuna kitu kama hichoKwa wataalam wa ndondi hebu mtusaidie hili,
Mandonga alipigana wiki mbili zilizopita nchini Kenya akapigwa TKO lakini leo Tena amepigana pale mwanza akapigwa Tena kwa KO yaani ndani ya mwezi mmoja tu bondia anapigana Mara mbili tena mapambano makubwa namna hii.
Chama Cha ngumi Cha Tanzania kinatuletea aibu Kama taifa kwangu naona hii ni unprofessional kabisa
USSR
Anatafuta hela na nafasi kaipatia uzeeniKwa wataalam wa ndondi hebu mtusaidie hili,
Mandonga alipigana wiki mbili zilizopita nchini Kenya akapigwa TKO lakini leo Tena amepigana pale mwanza akapigwa Tena kwa KO yaani ndani ya mwezi mmoja tu bondia anapigana Mara mbili tena mapambano makubwa namna hii.
Chama Cha ngumi Cha Tanzania kinatuletea aibu Kama taifa kwangu naona hii ni unprofessional kabisa
USSR
Kwani Mandonga ni bondia ama mburudishaji?Kwa wataalam wa ndondi hebu mtusaidie hili,
Mandonga alipigana wiki mbili zilizopita nchini Kenya akapigwa TKO lakini leo Tena amepigana pale mwanza akapigwa Tena kwa KO yaani ndani ya mwezi mmoja tu bondia anapigana Mara mbili tena mapambano makubwa namna hii.
Chama Cha ngumi Cha Tanzania kinatuletea aibu Kama taifa kwangu naona hii ni unprofessional kabisa
USSR
Nimekuelewa mkuuJe alikua anashindania MKANDA gani? Ukijua hilo case closed.
[emoji1]Mnapenda wajinga kuongoza nchi ndio tatizo.sasa faida mnapata kwenye masumbwi
Kichwa chake chenyewe hakiko sawaHii nchi imejaa watu wajinga sana. Ngoja siku afie ulingoni