Mandonga mtu kazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mimi mwenyewe shabiki wa mandonga, kasema sio ajabu yeye kutandikwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mandonga mtu kazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtakuja kufanya afie ulingoni....Tambo alafu anacheza na Kifo huku wengine wakiingiza mkwanja!!?
Mandonga Shtukaaa Utakufa Bure
Kaa chini kunywa maji, toa donge la wivu kooni.nitashangaa sana kampuni itakayosponsor huu ujinga wa kina mandonga
Huyo anayepigwa ngumi moja chali[emoji1787]Binafsi niliacha kufuatilia ngumi baada ya checka na Rashid matumla kustaafu, lakini ni hivi karibuni naanza kufuatilia mchezo wa boxing kutokana na Tambo za mandonga.
Kuna vitu kidoogo anavikosa, sponsors wakimuona, atakuwa vizuri. Huyu jamaa ni fursa ya kuunyanyua mchezo wa ngumi
Yeye hyo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Huyo anayepigwa ngumi moja chali[emoji1787]
Tupo na Mandonga hadi afie uringoni[emoji23]Mandonga mtu kazi jembe imara kwenye ngumi kuna matokeo matatu.
Kampromoti hata huyo Rashidi Kaoneka alikuwa hajulikani kabisa.
Mandonga akishinda mchezo haunogi kabisa.
Mandonga inatakiwa akandwe ndio anaongeza thamani na followers
Ningekuwa mdhamini wa ngumi ningemtafuti kabondia ka kibonde akakande ashinde japo mara moja.
Tupo na Mandonga hadi afie uringoni
Watakuja kumuua ujue [emoji23]Yeye hyo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kufa kupo tu, mkuuMtakuja kufanya afie ulingoni....Tambo alafu anacheza na Kifo huku wengine wakiingiza mkwanja!!?
Mandonga Shtukaaa Utakufa Bure
Kufa kupo tu, mkuuMtakuja kufanya afie ulingoni....Tambo alafu anacheza na Kifo huku wengine wakiingiza mkwanja!!?
Mandonga Shtukaaa Utakufa Bure
Akili ndogo sana mkuu, makampuni yanaangalia Popularity ya mtu na sio uwezo wa mtu, kwa taarifa tu, Mandogo licha ya kuandaliwa mapambano mengi zaidi amepata dili zaidi ya 5, ikiwemo k4 securitynitashangaa sana kampuni itakayosponsor huu ujinga wa kina mandonga
Ni shabani sio rashidMandonga mtu kazi jembe imara kwenye ngumi kuna matokeo matatu.
Kampromoti hata huyo Rashidi Kaoneka alikuwa hajulikani kabisa.
Mandonga akishinda mchezo haunogi kabisa.
Mandonga inatakiwa akandwe ndio anaongeza thamani na followers
Ningekuwa mdhamini wa ngumi ningemtafuti kabondia ka kibonde akakande ashinde japo mara moja.
Tupo na Mandonga hadi afie uringoni
Shabani kaoneka anaoneknani ni bondia mwenye stamina kubwa. Naskia alishawahi kumkanda hata Bondia Mwakinyo kwa Knockout,