Mandonga ni fursa ya kufufua boxing, aangaliwe kwa jicho la kibiashara, anapromoti vizuri sana

Mandonga ni fursa ya kufufua boxing, aangaliwe kwa jicho la kibiashara, anapromoti vizuri sana

Mtakuja kufanya afie ulingoni....Tambo alafu anacheza na Kifo huku wengine wakiingiza mkwanja!!?

Mandonga Shtukaaa Utakufa Bure
255652828196_status_17e13e84da914de69da261018aa8c557.jpg

Mashabiki wake wanachosema!!!
 
We unadhani kina cheka walikuwa wanatamba bila uwezo
 
Binafsi niliacha kufuatilia ngumi baada ya checka na Rashid matumla kustaafu, lakini ni hivi karibuni naanza kufuatilia mchezo wa boxing kutokana na Tambo za mandonga.

Kuna vitu kidoogo anavikosa, sponsors wakimuona, atakuwa vizuri. Huyu jamaa ni fursa ya kuunyanyua mchezo wa ngumi
Huyo anayepigwa ngumi moja chali[emoji1787]
 
Mandonga mtu kazi jembe imara kwenye ngumi kuna matokeo matatu.

Kampromoti hata huyo Rashidi Kaoneka alikuwa hajulikani kabisa.

Mandonga akishinda mchezo haunogi kabisa.
Mandonga inatakiwa akandwe ndio anaongeza thamani na followers

Ningekuwa mdhamini wa ngumi ningemtafuti kabondia ka kibonde akakande ashinde japo mara moja.

Tupo na Mandonga hadi afie uringoni
 
Mandonga mtu kazi jembe imara kwenye ngumi kuna matokeo matatu.

Kampromoti hata huyo Rashidi Kaoneka alikuwa hajulikani kabisa.

Mandonga akishinda mchezo haunogi kabisa.
Mandonga inatakiwa akandwe ndio anaongeza thamani na followers

Ningekuwa mdhamini wa ngumi ningemtafuti kabondia ka kibonde akakande ashinde japo mara moja.

Tupo na Mandonga hadi afie uringoni
Tupo na Mandonga hadi afie uringoni[emoji23]
 
Mandonga hata wakikuulia ulingoni mi bado niko upande wako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mandonga mtu kazi jembe imara kwenye ngumi kuna matokeo matatu.

Kampromoti hata huyo Rashidi Kaoneka alikuwa hajulikani kabisa.

Mandonga akishinda mchezo haunogi kabisa.
Mandonga inatakiwa akandwe ndio anaongeza thamani na followers

Ningekuwa mdhamini wa ngumi ningemtafuti kabondia ka kibonde akakande ashinde japo mara moja.

Tupo na Mandonga hadi afie uringoni
Ni shabani sio rashid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni shabani sio rashid

Sent using Jamii Forums mobile app
Shabani kaoneka anaoneknani ni bondia mwenye stamina kubwa. Naskia alishawahi kumkanda hata Bondia Mwakinyo kwa Knockout,

Sijui ni kwa nini hawampi mapambano.

Ningekuwa mdhamini ninge wapambanisha Shabani Kaoneka na yule Bondia aliyempiga Mandonga kabla ya Kaoneka.
Anaonekana naye ni Bondia mzuri sana.
Pambano lingekuwa la Moto kweli
 
Back
Top Bottom