Manengelo nakupenda

ukisikia Mungu hamtupi mja wake ndo hiii sasa [emoji23][emoji23]inaitwa bandika bandua[emoji28][emoji28]...ww naomba uwe planner wa kiĺa kitu..naelekea kumkubali jamaa[emoji4][emoji4]
Ooh sawa kabisa, shemela yupo vizuri..ila mwambie kuwa mie ndo Shem wake wa ukweli maana mmh anavyonijibu nachoka kabisa
 
Naunga mkono hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…