multiple
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 389
- 627
atakupanda huyo.. nimeona mwanzo ulikua unamtolea mbavuni za uso tu but then taratibu naziona sitaki nataka dogo kaza ..Mzigo wako huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakupanda huyo.. nimeona mwanzo ulikua unamtolea mbavuni za uso tu but then taratibu naziona sitaki nataka dogo kaza ..Mzigo wako huu
hahaha bas ningekazwa na wengi sana...ninapenda sana kuwa postive siku hizi mkuu..mitusi tusi sitaki tenaatakupanda huyo.. nimeona mwanzo ulikua unamtolea mbavuni za uso tu but then taratibu naziona sitaki nataka dogo kaza ..Mzigo wako huu
bado yule mshakunaku hearly sijui[emoji28][emoji28]..khaa
Mama yangu siyo wa KUPALAMIWA na kila mtu kaka, kwanza anapenda sana utani mama yangu huyu, na ndiyo maana mimi nampenda sana mama yangu mzazi manengeloatakupanda huyo.. nimeona mwanzo ulikua unamtolea mbavuni za uso tu but then taratibu naziona sitaki nataka dogo kaza ..Mzigo wako huu
mitusi hutaki real?mbona anakwambia habari za ubooo hapa unakenua kenua, mama mtu mzima😀😀 BTW nimekuelewa najaribu kufanya kama kujikuna tuhahaha bas ningekazwa na wengi sana...ninapenda sana kuwa postive siku hizi mkuu..mitusi tusi sitaki tena
Unafanya kama kujikuna [emoji41]mitusi hutaki real?mbona anakwambia habari za ubooo hapa unakenua kenua, mama mtu mzima😀😀 BTW nimekuelewa najaribu kufanya kama kujikuna tu
mitusi hutaki real?mbona anakwambia habari za ubooo hapa unakenua kenua, mama mtu mzima😀😀 BTW nimekuelewa najaribu kufanya kama kujikuna tu
Mama yangu siyo wa KUPALAMIWA na kila mtu kaka, kwanza anapenda sana utani mama yangu huyu, na ndiyo maana mimi nampenda sana mama yangu mzazi manengelo
😂😂😂..ulitaka nianze chqmbana naye?huon km mm ndo ningeloose focus..km nilikua naham naye jana tu ningejibu pm yake...pole mnooo...tena pole sana my bro..naweza kutukana hapa kumbe pm najibebisha...!na nilipanga nisicoment huu uzi bt demi kanifanya nicoment..anywys muda ni mwalimu mzuri
Bahati imekudondokea leo mama la mama....tunasubirii formation ya new kapoo
Tunaoumia ni sisi mashabiki hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
so ajaribu kufanya makadirio sahihi ya shoboling?😀😀😀😀😅😅 nahis ht ww huwez nijua..anywys..nalala..
Ila ukimfuatilia vizuri huyu kupitia thread zake/comments,anaonekana ni member tu mzoefu hizo thread zake za kitoto toto anafanya makusudi tu!
Hahaha!hahaj nimegundua ht mm
sema balehe ndo imemshukia km mwewe
Ni kimuomba tu Mungu kwakwelindo nilichofanya..nawazaga wanangu wakifikia balehe sijui nitawaleaje!
Hahaha!
Inawezekana, sema mi naamini kabisa huyu ni mzoefu tu na siyo mtoto kama tunavyodhani!
Kabisa Mkuu!Nishajaribu kumfikiria ni nanii kuna id kadhaa zinanijia..huyu ni mtu mzimw tu 30+
Sent using Jamii Forums mobile app