Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Nikiwa home nachota maji au nafua,
Nikiwa kibanda umiza,
Nikiwa kazini balaa
Nikiwa barabarani
Kila ninapokutana au kupishana na dadaz wengi kunakua na sauti nahisikia... ndani yao zikisema..
Nipende nikupe majukumu,
Nitamani ili unieleze nakula wapi na nitalala wapi..
Chukua namba yangu ujue vyenye niko na mashida na haja na mwanaume kama wewe..
Nasio dadaz tu hadi mishangazi wake za watu.
Mke wa mtu anakuita umsaidia kuweka Luku kwenye chumba chake, just she can't believe that you are oky to live alone.
Kama niliweza Kustahimili mikiki kipindi nafanya kazi ya Uwakala Tigopesa, hata sasa najua nitasimama,
Avoid women
Surya Mtu Kazi am not a gay
Nikiwa kibanda umiza,
Nikiwa kazini balaa
Nikiwa barabarani
Kila ninapokutana au kupishana na dadaz wengi kunakua na sauti nahisikia... ndani yao zikisema..
Nipende nikupe majukumu,
Nitamani ili unieleze nakula wapi na nitalala wapi..
Chukua namba yangu ujue vyenye niko na mashida na haja na mwanaume kama wewe..
Nasio dadaz tu hadi mishangazi wake za watu.
Mke wa mtu anakuita umsaidia kuweka Luku kwenye chumba chake, just she can't believe that you are oky to live alone.
Kama niliweza Kustahimili mikiki kipindi nafanya kazi ya Uwakala Tigopesa, hata sasa najua nitasimama,
Avoid women
Surya Mtu Kazi am not a gay