Maneno bila sauti kutoka kwa dadaz

Maneno bila sauti kutoka kwa dadaz

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Nikiwa home nachota maji au nafua,
Nikiwa kibanda umiza,
Nikiwa kazini balaa
Nikiwa barabarani

Kila ninapokutana au kupishana na dadaz wengi kunakua na sauti nahisikia... ndani yao zikisema..

Nipende nikupe majukumu,
Nitamani ili unieleze nakula wapi na nitalala wapi..

Chukua namba yangu ujue vyenye niko na mashida na haja na mwanaume kama wewe..

Nasio dadaz tu hadi mishangazi wake za watu.
Mke wa mtu anakuita umsaidia kuweka Luku kwenye chumba chake, just she can't believe that you are oky to live alone.

Kama niliweza Kustahimili mikiki kipindi nafanya kazi ya Uwakala Tigopesa, hata sasa najua nitasimama,
Avoid women

Surya Mtu Kazi am not a gay
 
Na maneno ya sauti kutoka kwetu wakaka!

Upwiru umeniandama nipe nyash niisasambue!
hilo umbo namba nane nikilikuta sita kwa sita sinto sita kulisikitisha!.
Leta tamaa za pesa nikushike uno,nikupelekee moto hadi kitumbua kiombe poo!
hayo yote ni batili ila punyeto na mishangazi ndio dili..🤪
 
Nikiwa home machota maji au nafua,
Nikiwa kibanda umiza,
Nikiwa kazini balaa
Nikiwa barabarani

Kila ninapokutana au kupishana na dadaz wengi kunakua na sauti nahisikia... ndani yao zikisema..

Nipende nikupe majukumu,
Nitamani ili unieleze nakula wapi na nitalala wapi..

Chukua namba yangu ujue vyenye niko na mashida na haja na mwanaume kama wewe..

Nasio dadaz tu hadi mishangazi wake za watu.
Mke wa mtu anakuita umsaidia kuweka Luku kwenye chumba chake, just she can't believe that you are oky to live alone.

Kama niliweza Kustahimili mikiki kipindi nafanya kazi ya Uwakala Tigopesa, hata sasa najua nitasimama,
Avoid women

Surya Mtu Kazi am not a gay
Mkuu ukiichukua hii kenge ukieka ndani Cha kwanza kuwaza atakwambia umuandalie future ukifa ili asipate tabu sasa sijui Kama alishaongea na mtoa roho Kama nitaanza Mimi kufa
 
Na maneno ya sauti kutoka kwetu wakaka!

Upwiru umeniandama nipe nyash niisasambue!
hilo umbo namba nane nikilikuta sita kwa sita sinto sita kulisikitisha!.
Leta tamaa za pesa nikushike uno,nikupelekee moto hadi kitumbua kiombe poo!
hayo yote ni batili ila punyeto na mishangazi ndio dili..🤪
Toto zinawasha aisee ni upupu 🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom