Maneno gani mazito ya mwisho ungependa yasomwe kwenye msiba wako watu wayasikie

Maneno gani mazito ya mwisho ungependa yasomwe kwenye msiba wako watu wayasikie

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Assume dunia nzima au watanzania wote tupo kwenye msiba wako tunakwenda kukuzika sasa kwa ufupi tu ungepewa nafasi uandike mambo ya mwisho siku za mwisho za uhai wako ungesema hoja gani wosia wa kutuachia sisi tunaobaki.

je yupo mtu ambaye ulimpenda na yeye hakukupenda ungependa ajue au yupo mtu aliyekuumiza na kukukandamiza ungependa umchane
 
Back
Top Bottom