ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Assume dunia nzima au watanzania wote tupo kwenye msiba wako tunakwenda kukuzika sasa kwa ufupi tu ungepewa nafasi uandike mambo ya mwisho siku za mwisho za uhai wako ungesema hoja gani wosia wa kutuachia sisi tunaobaki.
je yupo mtu ambaye ulimpenda na yeye hakukupenda ungependa ajue au yupo mtu aliyekuumiza na kukukandamiza ungependa umchane
je yupo mtu ambaye ulimpenda na yeye hakukupenda ungependa ajue au yupo mtu aliyekuumiza na kukukandamiza ungependa umchane