Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Statistically --- sta-ti-sti-kli (not: sta-ti-sti-ka-li)!Butcher
Enthusiasm
Utotoni zaidi: Time is making ability (makangabiliteeš), hensapu (hands up)
cc: Carleen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Statistically --- sta-ti-sti-kli (not: sta-ti-sti-ka-li)!Butcher
Enthusiasm
Utotoni zaidi: Time is making ability (makangabiliteeš), hensapu (hands up)
Basi mm nilikuwaga najua hiyo makangability nayo ni vocabularyButcher
Enthusiasm
Utotoni zaidi: Time is making ability (makangabiliteeš), hensapu (hands up)
Hehee,anxiety --- eng' - zayati
situate --- sichueit
situation --- sichueshen
sword --- sod
saw --- so
so --- so
see --- sii
sea --- sii
cc: Carleen
Hao wanachanganya herufi "d" na "b" kama wale wanaochanganya "r" na "l"Beep-deep [emoji23][emoji23] kuna mtu hadi leo anatamka deep badala ya beep
Nalidhani mtu akisema "situeshen" ndo inakuwa sooo? Kingereza kinapaswa kutamkwa kama Kiingereza kama ambavyo sisi tunafurahi kumsikia Mzungu akitamka lugha yetu ya taifa kifasaha.Hehee,
Hapo penye 'sichueshen' ukimuambia hivyo mbongo ataona kabisa una brag walaqhi'..!!
Kuna namna huwa natamka maneno ya kiingereza darasani wakanipa jina la 'm-british'...!
Kuna mwalimu baada ya presentation akaniita na kuniuliza nilisoma wapi secondary education, nilivyomjibu shule ya kata akakataa kuwa haiwezekani.!!
Hujaweka mfano; hujaonesha namna sahihi ya matumizi!??Hata namba ya kutumia baadhi ya maneno, unapata some common problems:
Tizama tu 'watanzania' wengi wanavyotumia neno "somehow" katika sentensi zao. Mara nyingi wanatumia neno hilo wakiwa na maana ya "kidogo" au "nafuu"..... Lakini ki ukweli ni makosa....
Kuna neno niliwahi litamka kama wazungu wanavyotamka kuna beshte angu nilikuwa naye akaniambia usiongee hivyo, watu wataona una mashauzi,Nalidhani mtu akisema "situeshen" ndo inakuwa sooo? Kingereza kinapaswa kutamkwa kama Kiingereza kama ambavyo sisi tunafurahi kumsikia Mzungu akitamka lugha yetu ya taifa kifasaha.
Neno lingine: education --- ejhu-keshen (baadhi huwa wanakosea wanatamka edu-keshen)!
Sasa wewe my bestie unaishije kwa kusetiwa na watu wengine!?? As long as you don't cross their anga, literally, hupaswi kujali sana kisemwacho bali kitumie kama sehemu ya changamoto kama changamoto zingine.Kuna neno niliwahi litamka kama wazungu wanavyotamka kuna beshte angu nilikuwa naye akaniambia usiongee hivyo, watu wataona una mashauzi,
I only follow my rules sweetheart, nimeongea tu ule ukhalisia wa jamii yetu ulivyo..!!Sasa wewe my bestie unaishije kwa kusetiwa na watu wengine!?? As long as you don't cross their anga, literally, hupaswi kujali sana kisemacho bali kitumie kama sehemu ya changamoto kama changamoto zingine.
eg-zostedFatigue= fatiig
Exhausted= ekzosted
Lingerie= Lan zha ree/ lanjarii
Sent using Jamii Forums mobile app
I am interested in knowing those rules sweetliver, if possibleI only follow my rules sweetheart, nimeongea tu ule ukhalisia wa jamii yetu ulivyo..!!
Unamuuliza: Mr X, how are you today? (Labda alikuwa mgonjwa), anakujibu "mmmh....somehow" (akiwa na maana ana nafuu). Ama "Mr X, is the job done?" (Anajibu "it is somehow done".....hapa akiwa na maana "the job is partly or partially done", mind you mzungu akijibiwa hivyo ataelewa kuwa unasema "kazi imekamilika"....hii confusion imewahi kutokea sehemu....MAKOSA.Hujaweka mfano; hujaonesha namna sahihi ya matumizi!??
Haha. Unajua tongue twister? She sells seashells on the seashoreSouth= Sauth,sielewi kwanini watu wanatamka Thauth
Something= Samthing, sijui Thamthing inakujaje wallahi!
Sent using Jamii Forums mobile app