Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Somehow, I managed to get there..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Somehow, I managed to get there..!
Mkuu unapotosha mengi saana...ni vema kama haujui yote ukatusaidia ambayo unauhakika nayo.led --- he led a big company as one of its top CEOs
She read the book yesterday. (Inasomwa "red" kwa 7bb ni past tense)
Najua ndipo tu umefufuka kutoka usingizini. Ningekuwa mwalimu halafu wewe ukawa student, ningekuvusha madarasa mawili, uwahi kuhitimu ili ukuje uone vema ngoma ilivyo rahisi huku field. Anyways, matangazo pembeni, soma post #125 hapo halafu ukuje tuongeeeeee.Mkuu unapotosha mengi saana...ni vema kama haujui yote ukatusaidia ambayo unauhakika nayo.
Kuna wasiojua watachukua matamshi yako. Hiyo lead sio led inatamkwa leed. With a long e.
ri-shjhumResume - ree-zeme
What about?Somehow, I managed to get there..!
Ras Simba na wanafunzi wake hahahhaaI get your point. But ili kutumia hiyo system, lazima ujifunze kwanza. Which means, mtu ambaye hajajifunza ataona mapichapicha tu. See what I'm sayin'? Kwa mtu ambaye interest yake ni kutaka kujua basic knowledge ya matamshi ya maneno fulani, kuyadahibisha ama kuyakaidisha ("customize") katika lugha hasa ya Kiswahili ambacho karibu kila mtu anakubali kuwa ni rahisi zaidi, inasaidia mara mia na zaidi kuliko mfumo husika. Faida ya pili ni kwamba mtumiaji anakuwa anajua lugha yake tayari -- kwa hiyo matamshi ya maneno ya English hutambulika haraka.
Imagine native English ambaye hajui IPA, ila anahitaji kujifunza kutamka maneno ya Kiswahili, mmoja akaanza kumfundisha mfumo wa IPA, mwingine anatumia mfumo huu wa "First Principle." Ni dhahiri huu wa pili unarahisisha zaidi.
Mfano:
1. Kila kitu --- "killer key-two"
2. Kiatu --- "key-a-two"
3. Sisimizi --- "see-see-me-zy"
4. Sakafia --- "sir-car-fee-a"
Japo si kile hasa ninachomaanisha kuhusu kudahibisha katika Kiswahili, angalau tunaweza kupata picha ndogo ya dhana husika.
NB: It is nor meant for scrupulous professionals, but for colorful artists!
Hasa wachaggaHao watakuwa ni wale walizoeaga maswali ya insha; kila kipindi kabla mwalimu hajafundisha ilikuwaga insha kwenda mbele!
IsleHaya maneno yenye silent letter kama vile foetus ,phoenix dah kama hujawahi kuyaskia kwa wataalamu utaaibika
TharaleThoroughly kwenye Neno hili nilihangaika mno
dumb --- damIsle
Island
tharaliTharale
Aiseeee!!! Kumbe dunia nimeamini wanne wanne!!!Mimi kilichokua kinanisumbua sana ni zile ndoo za mafuta juu kwenye mfuniko zimeandikwa,KUFUNGUA KATA MAPENGO..
Enzi hizo nina mapengo,,zilikuwa zinaniacha na maswali mengi mno..