Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Hujakatazwa , kama unalipenda kaliandike nyumbani kwakoHaaaa haaaaaa. Unahangaika, hili neno litadumu vizazi adi vizaziii, iliwajue Kuna mwamba ambae Yuko kifuani mwa Ibrahim ambae alifanya vitu tangibleee
Sasa mbona maneno tuuu vitendo zero!! Sisi tunaendelea kula nchi tu!Yaani tuwaachie wajinga nchi yetu tukaanzishe nyingine ! Never Ever !
Kama una ubavu nenda kalitoe na kesho hapa Mwanza tunaishusha meli yetu ya "MV Mwanza Hapa Kazi Tu" kwenye ziwa letu Victoria. Kunywa sumu ufe wewe kibibi cha Temeke!!Hujakatazwa , kama unalipenda kaliandike nyumbani kwako
Jibuni hoja MatagaSubiri utage
Kwani Mimi ni raisi wa nchi? Hujui raisi wa nchi ni icon kubwaa kitaifa. Tena endeleaa kulisoma ili uendelee kukeleheka na kukumbuka shujaa yule alieko mbinguni Kwa Yesu.Hujakatazwa , kama unalipenda kaliandike nyumbani kwako
Hoja au mashuduJibuni hoja Mataga
Mbingu inayopokea waporaji iko mlima gani ?Kwani Mimi ni raisi wa nchi? Hujui raisi wa nchi ni icon kubwaa kitaifa. Tena endeleaa kulisoma ili uendelee kukeleheka na kukumbuka shujaa yule alieko mbinguni Kwa Yesu.
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.
Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.
Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?
Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Mkishindwa kuyaondoa kistaarabu yataondolewa na wananchiNa huu nao ni ujinga wa vijana wendawazimu wa chama kinachojiita kina watu werevu!
Na kukesha mitandaoni kuchafua watu kwa kufikilia namna ya vipi uwaandike ili ueleweke,
Napo unatimiza moja ya neno la Hapa kazi tu
Unadhani kushinda ukichapisha mandiko hapa kwani ni uzembe?
Kadiri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo unavyozidi kupoteza never za fahamu kuelekea ujinga zaidiMkishindwa kuyaondoa kistaarabu yataondolewa na wananchi
Au 'pimpos pawa' yangefaa zaidi?Maneno yenye kutangaza utalii yasingekuwa bora zaidi?
Ndivyo baadhi ya wenzetu walivyo. Mijitu mivivu na yenye roho mbaya sana. Madhara yake ni nini na yapi?Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.
Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.
Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?
Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Hapana - VISIT TANZANIA ingekuwa bora zaidi. Wekeni uzalendo mbele! -- JPM.Au 'pimpos pawa' yangefaa zaidi?