Maneno 'HAPA KAZI TU' yaondolewe kwenye mali za nchi, yanatia aibu na wala hayana maana yoyote

Maneno 'HAPA KAZI TU' yaondolewe kwenye mali za nchi, yanatia aibu na wala hayana maana yoyote

Haaaa haaaaaa. Unahangaika, hili neno litadumu vizazi adi vizaziii, iliwajue Kuna mwamba ambae Yuko kifuani mwa Ibrahim ambae alifanya vitu tangibleee
Hujakatazwa , kama unalipenda kaliandike nyumbani kwako
 
Hujakatazwa , kama unalipenda kaliandike nyumbani kwako
Kama una ubavu nenda kalitoe na kesho hapa Mwanza tunaishusha meli yetu ya "MV Mwanza Hapa Kazi Tu" kwenye ziwa letu Victoria. Kunywa sumu ufe wewe kibibi cha Temeke!!
 
Hujakatazwa , kama unalipenda kaliandike nyumbani kwako
Kwani Mimi ni raisi wa nchi? Hujui raisi wa nchi ni icon kubwaa kitaifa. Tena endeleaa kulisoma ili uendelee kukeleheka na kukumbuka shujaa yule alieko mbinguni Kwa Yesu.
 
Kwani Mimi ni raisi wa nchi? Hujui raisi wa nchi ni icon kubwaa kitaifa. Tena endeleaa kulisoma ili uendelee kukeleheka na kukumbuka shujaa yule alieko mbinguni Kwa Yesu.
Mbingu inayopokea waporaji iko mlima gani ?

FB_IMG_1665831491154.jpg
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.

Naunga mkono hoja. Wachague kuyaondoa au wasubiri tukuje sisi kuyaondoa.

"Just a matter of time." -- beberu
 
Na huu nao ni ujinga wa vijana wendawazimu wa chama kinachojiita kina watu werevu!

Na kukesha mitandaoni kuchafua watu kwa kufikilia namna ya vipi uwaandike ili ueleweke,

Napo unatimiza moja ya neno la Hapa kazi tu

Unadhani kushinda ukichapisha mandiko hapa kwani ni uzembe?
 
Na huu nao ni ujinga wa vijana wendawazimu wa chama kinachojiita kina watu werevu!

Na kukesha mitandaoni kuchafua watu kwa kufikilia namna ya vipi uwaandike ili ueleweke,

Napo unatimiza moja ya neno la Hapa kazi tu

Unadhani kushinda ukichapisha mandiko hapa kwani ni uzembe?
Mkishindwa kuyaondoa kistaarabu yataondolewa na wananchi
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Ndivyo baadhi ya wenzetu walivyo. Mijitu mivivu na yenye roho mbaya sana. Madhara yake ni nini na yapi?
Mbona walipoyaandika wakati ule hamkulalamika au woga na unafiki?
 
Back
Top Bottom