Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #141
Umasikini siyo baraka , ni laana , hakuna haja ya kuuficha wala kujivuniaNakushauri tena mkuu kwenye nchi yenye maskini wengi kama Tanzania, wewe kama kada wa Cdm usipende kulitumia kudhihaki ,
Utaharibu picha ya chama chako ambayo kinategemewa kuja na sera za kuwatoa kwenye umaskini,
Watanzania wengi Bado wako kwenye mapambano dhidi ya umaskini
Nayo itaondolewaUngejua mpaka kuna intake ya jkt inaitwa hapa kazi tu, usingeandika huu ushuzi.
Tangu lini Ushauri ukageuka kuwa chuki ?acha chuki,chuki ni sumu mwilini
Wala msihangaike , ondoeni tu hayo maneno mkayaweke vibarazani kwenuTukisema kuna watu wanahitaji msaada wa kisaikolojia huwa hatueleweki.
Wananchi wataondoa vp? Wakati mwengine hebu punguzeni ujinga. Wananchi walishindwa kumuondoa madarakani huyo Magufuli na ndio lingekuwa jambo la msingi,wananchi kupata katiba mpya wameshindwa halafu leo waje kuondoa hayo maneno? Huo kama sio upumbavu ni nini?Mkishindwa kuyaondoa kistaarabu yataondolewa na wananchi
Zile ndege sio za baba yako mzazi na ndio maana yaweza kuwa hukutaka zinunuluwe ila bado zikanunuliwa, halafu ndio uje kuamuru et yale maneno yatolewe we nani? Mwambie baba yako akununulie ndege kisha ndio utaweza kuandika chochote unachotaka wewe.Wala msihangaike , ondoeni tu hayo maneno mkayaweke vibarazani kwenu
Hivyo ni vibwagizo. Vibwagizo siyo kitu cha kudumu, ndiyo maana haviwekwi kwenye vitu vya kudumu.Utashindwa kujibu kwa kuwa kingereza chako ni hadi ule konyagi ndogo. Ila naunga mkono hoja wayafute waweke "LOWASA MABADILIKO, MADILIKO LOWASA"
Kwa Nyegere ni SAWA kabisa! Sema tutakua na wivu na mademu zetu sana, sema Nini?! Mademu wenyewe ndo hao walesbian na vijana wetu hawataki ndoa wanageuka kuwa mchicha poriTumeshakubaliana Hilo Pia Twiga Naye Atupishe Maana Anatuchelewesha Kwenye Mengi Mno
Nyegere Anachukua Nafasi Ya Twiga Mpaka Tanesco Nao Watoe Nembo Yao Ile Umeme Uache Kukatika
Argue sensiblly, utaonekana mtu sensible. Present hoja yako kwa hekima. Ukizoea kupresent mawazo yako kihovyo hovyo, baadaye itakujenga, na utakuwa wa hivyo hivyo.Meli Kubwa kuwahi kutokea Ziwa Victoria ndo inashuka majini. HAPA KAZI TU!! Viva JPM
Mwambie sasa huyo Mbelgiji aende Mwanza kumtukana Shujaa wa Africa.
Maneno HAPA KAZI yataendelea kuwepo wakati wote. KENGE
Unaona huu upumbavu wako!!??, hakuna hata mmoja anaye kuunga mkono,comment zoote zinakutukana,Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.
Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.
Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?
Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Unaona huu upumbavu wako!!??, hakuna hata mmoja anaye kuunga mkono,comment zoote zinakutukana,Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.
Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.
Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?
Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Tusiwe na maandishi ya ajabu ajabu. Angalia angalao hata mashirika 10 ya ndege Duniani, wameandika nini kwenye ndege zao? Ni mara chache sana unapokuwa tofauti na watu wote, wote wakawa hawapo sahihi ila wewe tu mmoja ukawa sahihi.Hebu tupe mawazo ,tuandike nn,
Akiulizwa nanani?Hivi ukiulizwa maana yake nini utajibuje ?
Kwa mtu asiyeamini hayo mambo kama Kiranga utamueleza nini?Mwanaume yupi? Huyo yupo kuzimu anajibu mashtaka ya madhambi yake ya kumiminia mtu risasi na kupora chaguzi!!
Mimi sijawahi kuomba kuungwa mkono na yeyote hapa JF , ninaandika ninachokiamini kwa lengo la kufundisha , pia sijawahi kuogopa matusi wala kulogwaUnaona huu upumbavu wako!!??, hakuna hata mmoja anaye kuunga mkono,comment zoote zinakutukana,
Wewe mbona mzito mno kuelewa? Pamoja na uchache wa wanachama mtapata kura zaidi ya milioni moja ambazo nyingi ni kura za huruma. Bahati mbaya hazitawasaidia kushindaAcha utoto Chadema ni msingi iliwafikia wanachama million 6 ambao ndio wanasajiliwa pia kupitia Chadema digital. Hata CCM ilisema Ina wanachama million 16 kwani Ina kura million 16 uchaguzi wa 2020?? Hata wenye vitambulisho vya kupiga kura ni zaidi ya million 25 ila je Kuna siku wote hao wamepiga kura??
Usichanganye mambo, mwaka 2020 kwa mujibu wa NEC wagombea ubunge wa Chadema walizoa kura million 3 combined Sasa ulidhani hizo kura zimetoka wapi?
Na 2025 zitaongezeka maana tuna Rais dhaifu asiyeweza lolote so hakuna mwenye akili timamu atampigia kura.