Maneno haya ya Winston Churchill kuhusu kodi na maendeleo yana ukweli wowote?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967

Tafsiri isiyo rasmi Kwa kiswahili anasema, "Nchi inayojaribu kuendelea kwa kutoza watu wake kodi ni sawa na mtu aliye ndani ya ndoo kisha akajaribu kujinyanyua."

Yana ukweli wowote haya maneno? Kama yana ukweli, ni njia gani mbadala wa kodi nchi itumie?
 
Mimina Moet 🍾 kwenye kaburi lake, bill juu yangu.
 
Gwajima Mbunge wa Kawe anamfahamu sana Churchill. Rejea hutuba yake wakati JPM akizindua Bunge hili akimnukuu Churchill Gwajima alishauri kuwa CCM wasicheleweshwe na mbwa wanaobweka! Sasa ukileta hili la Churchill kuhusu kodi unawachanganya CCM! Tusikie wanasemaje!?
 
Bila Kodi NINARUDIA bila kodi hakuna serikali
 
Alikuwa anamaanisha ili nchi iendelee lazima ikafanye ujambazi nje kama anavyofanya bwana Kagame kule Congo mashariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…